Lubasha Jr
@MarekaMalili
|Digital Consultant | |Baba Maggie & Gian |Youth Development| |Parenting| |Financial Literacy| |#ManU #LBJLoyalKnight|
ID:372227239
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.app.bando.dev 12-09-2011 11:35:03
660,5K Tweets
619,9K Followers
1,7K Following
Changamoto kubwa inayowakumba wasichana na wanawake ni mfumo dume, rasilimali na jukwaa watakalotumia ili wapigiwe kura. ~ Hilder Gasper
#KanuniZaSADC
#CharterProjectAfrica
#Action4DGTz
Elimu ya mpiga kura inahitajika kuwa katika lugha inayooeleweka na kutegemea na mazingira, jamii zinatofautiana utashi wake hivyo elimu lazima izingatie mazingira husika ili isionekane hainatija. ~ Hilder Gasper
#KanuniZaSADC
#CharterProjectAfrica
#Action4DGTz
Ni wasaa mzuri kwa Action for Democratic Governance (A4DG). kutoa elimu kuhusu ushiriki wa vijana kwenye uchaguzi. Vijana ni kundi kubwa ambalo linabeba ya taifa. ~ Osman Msangi, mshiriki wa mdahalo
#KanuniZaSADC
#CharterProjectAfrica
#Action4DGTz
Takwimu zinaonyesha 2020 nusu ya waliojiandikisha kwenye daftari la wapiga kura hawakupiga kura, ila walijiandikisha ili wapate ile kadi yakupiga kwa matumizi mengine. ~ Caliph Makwita
#KanuniZaSADC
#CharterProjectAfrica
Kanuni za SADC hazijainisha makundi maalumu ila zimebeba mjumuisho wa kaundi yote maalumu. ~ Caliph Makwita
#KanuniZaSADC
#CharterProjectAfrica
#Action4DGT
Lubasha Jr Unaishia kuwa na watu wanaopenda motivational talks. Nimesema jana kwamba mtoa story anachagua nini cha kuweka na nini cha kutokuweka kutoka kwenye story kamili ya mafanikio yake. Hatuwezi kujua nini kimekuwa omitted na kwa nini
Lubasha Jr Very well said Malili.
Lakini na yeye pia kama Mtaalam wa “Effective Study Habits” inatakiwa ajisogeze na awaelewa wananchi wa Mitandaoni. Leo hii, wewe walau umetoa chanzo na sababu, ambayo I can bet yeye haijui.
Lubasha Jr Ni kama kimetaverse..
Huwezi ingia kwenye metaverse halafu uchague vitu vya kuchosha akili..
Hapo unachose character Drug Cartel umezungukwa na babes kila kona.
Una dollar kila kona.
'Siasa na miafaka ya kisiasa ndio yanayozaa sheria,' Balozi Togolani Mavura.
#DemokrasiaYetu
x.com/i/spaces/1Mnxn…
'Kila nchi inabuni muundo wake ili ipate kustawi na kuendelea. Kwetu sisi muungano huu ni wa kibunifu. Lakini tunahitaji kuendelea kuhoji namna muungano utakavyofanya kazi kwa vizazi vijavyo,' Aidan Eyakuze via The Chanzo.
#DemokrasiaYetu
x.com/i/spaces/1Mnxn…
Tembelea Holly Green
Wanauza vifaa, pia na kusimamia usimikaju ya mifumo ya kisasa ya Umwagiliziaji.