🦁PeterLeah🇹🇿
@PeterLeah18
@chugaBOY2022 | Shabiki wa @Arsenal | Simba 🦔|Natamgaza biashara kwa bei poa|0767911056/0626992648
ID:988314666676965376
23-04-2018 07:12:33
208,8K Tweets
68,2K Followers
41,3K Following
#PICHA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu amewasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro tarehe 7 Desemba, 2023 tayari kuelekea Katesh wilayani Hanang kulipotokea maafa ya mafuriko makubwa.
#MaafaManyara
#EastAfricaTV
Mkomonisti Wa Twita Zee la Vyeti (PhD) Big 007❄️ Baharia😎 WHYMYCATISSAD Spana & V.A.R Movement Mimi naona ukweli Sasa unabainishwa. Ila historia ni vizuri ihifadhiwe. Kuna mwamba alinipa ushahidi kuwa Kiebrania ni kibantu nilibaki mdomo wazi. Na kile wanachodai Kiebrania ni Urdu
Mkomonisti Wa Twita Zee la Vyeti (PhD) Big 007❄️ Baharia😎 WHYMYCATISSAD Spana & V.A.R Movement Ila ilo hawataki kuamini na watakupinga
👉Kama aliteswa na wayahudi hao hao inamana yeye alikua muarab au ndio wale wakristo waliokua % chache za watu waliokua hapo Israel?
(Msininukuu vibaya hapa nipo kwa ajili ya kuwajuza kua Israel ni Afrika nini maoni yako kwenye hili)
#MzeeWaVituAdimu2023
🚶🚶🚶
Mkomonisti Wa Twita Zee la Vyeti (PhD) Big 007❄️ Baharia😎 WHYMYCATISSAD Spana & V.A.R Movement Siwezi sema israel ni africa ila najua waisrael waliopo pale sio wa asili ya hapo na ni refurbished national kwajili ya udhalimu tu, hawafanani na waafrika wala warabu wao walitoka wapi? 💔💔