Big 007❄️
@Big0047
FromVille
ID:1249687012698980353
13-04-2020 13:13:31
121,3K Tweets
269,1K Followers
5,6K Following
Je Wajua
Congo kuna aina 1100 za Madini inakadiriwa utajiri wa Madini Nchini congo una thamani ya Trillion 24 sawa na Uchumi wa Marekani na ulaya nzima kwa ujumla.
#ElimikaWikiendi
Je Wajua.?
Franchise ni aina ya Biashara ambayo Muanzilishi wa Hiyo Biashara hutoa idhini ya kisheria kwa mtu binafsi,kikundi au Kampuni itakayokua tayari kufanya shughuli maalum za kibiashara zinazo endana na Kampuni Mama
Mfano:KFC,Cocacola,Pepsi,McDonald
#ElimikaWikiendi
Je Wajua
Kabla ya Kuingiza Kinywaji Cha“Red Bull”Mtaani Mwaka 1987 Nchini Austria Walianza Kutupa Makopo Matupu ya Kinywaji hicho katika Mapipa Ya taka na
Madampo nchi nzima ili kuwafanya watu
waanze kukiulizia kinywaji hicho wakiamini kinatumiwa Na wengi..
#ElimikaWikiendi
Wewe ni mtu wa kupenda bata la #HadhiYaJuu kama mimi? Skia sasa kuna bata la kibabe ambalo litakuwa na #BiteVibes ndani yake litapigwa viwanja vya Posta Kijitonyama tarehe 26&27 mwezi huu. Steji inashambuliwa na Chibu, Casper Nyovest na wasanii A list kibao.
Nunua tiketi yako…
Kama wewe ni BIG hizi hapa shati zako 🔥
.
BEI: 25,000/=. Size 3XL -6XL
.
Njoo Whatsapp Chap nifanye delivery 🛒🛍️
.
wa.me/message/AQXUYZ…
.
Mkoani unapokea ndani ya 24 hrs 🛒
.
Carol Ndosi MIRIAM💜 Malkia Nyuki 👑🇹🇿 Daktari Wa Manesi 💉💊 Sally Brown🌷 SANUKAnaCHAPO Moyo wa TAIFA ™️