Rachel Kimambo(@RachelKimambo) 's Twitter Profileg
Rachel Kimambo

@RachelKimambo

National Secretary for Finance and Resources| Secretary of The Board of Trustees @ACTWazalendo

ID:1400015021271404547

calendar_today02-06-2021 09:03:40

1,5K Tweet

703 Takipçi

166 Takip Edilen

shangwe Ayo(@ayo_shangwe) 's Twitter Profile Photo

Ndugu Mtanzania tunaomba mchango Wako kuwezesha Mkutano Mkuu wa ACTWazalendo Taifa utakaofanyika Machi 5-6, 2024.

Unaweza kuwasilisha mchango wako kwa njia zifuatazo;

Tigopesa: 0713957977
Mpesa: 0744959112
JINA: ACT Wazalendo Finance

NMB A/C: 22610004083
JINA: ACT WAZALENDO

Ndugu Mtanzania tunaomba mchango Wako kuwezesha Mkutano Mkuu wa @ACTwazalendo Taifa utakaofanyika Machi 5-6, 2024. Unaweza kuwasilisha mchango wako kwa njia zifuatazo; Tigopesa: 0713957977 Mpesa: 0744959112 JINA: ACT Wazalendo Finance NMB A/C: 22610004083 JINA: ACT WAZALENDO
account_circle
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢(@Chahali) 's Twitter Profile Photo

Leo ni Januari 28, 2024. Au Waziri Mbarawa akimaanisha Januari 2025? Au Januari 24 kwa kutumia Mayan Calendar? 🤔

Leo ni Januari 28, 2024. Au Waziri Mbarawa akimaanisha Januari 2025? Au Januari 24 kwa kutumia Mayan Calendar? 🤔
account_circle
Salim Bimani(@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

UCHAGUZI WA MAJIMBO ACT WAZALENDO 100%

Chama cha ACT Wazalendo kimekamilisha uchaguzi katika ngazi ya majimbo kwa 100%. Majimbo yote 214 upande wa Tanzania Bara na Majimbo yote 50 upande wa Zanzibar (Jumla Majimbo 264) yamekamilisha uchaguzi wake sawa na 100%.

UCHAGUZI WA MAJIMBO ACT WAZALENDO 100% Chama cha ACT Wazalendo kimekamilisha uchaguzi katika ngazi ya majimbo kwa 100%. Majimbo yote 214 upande wa Tanzania Bara na Majimbo yote 50 upande wa Zanzibar (Jumla Majimbo 264) yamekamilisha uchaguzi wake sawa na 100%.
account_circle
Dotto Rangimoto🇹🇿🇨🇳(@JiniKinyonga) 's Twitter Profile Photo

Ndugu Mtanzania tunaomba mchango Wako kuwezesha Mkutano Mkuu wa ACTWazalendo Taifa utakaofanyika Machi 5-6, 2024.

Unaweza kuwasilisha mchango wako kwa njia zifuatazo;

Tigopesa: 0713957977
Mpesa: 0744959112
JINA: ACT Wazalendo Finance

NMB A/C: 22610004083
JINA: ACT WAZALENDO

Ndugu Mtanzania tunaomba mchango Wako kuwezesha Mkutano Mkuu wa @ACTwazalendo Taifa utakaofanyika Machi 5-6, 2024. Unaweza kuwasilisha mchango wako kwa njia zifuatazo; Tigopesa: 0713957977 Mpesa: 0744959112 JINA: ACT Wazalendo Finance NMB A/C: 22610004083 JINA: ACT WAZALENDO
account_circle
Emmanuel L. Mvula(@Immamvula) 's Twitter Profile Photo

Masuala muhimu kwa Wabunge
1. Mwenyekiti na Makamu Wasiteuliwe na Rais
2. Uchaguzi S/Mitaa usimamiwe na Tume
3. Wakurugenzi wasiwe wasimamizi
4. Sina ya kutoshiriki siasa iongezwe
5. Mapingamizi yapingwe mahakamni
6. Matokeo ya Urais yapingwe Mahakamani

account_circle
Talib ussi Hamad(@talib_ussi) 's Twitter Profile Photo

Kaimu Naibu Katibu wa chama cha ACT WAZALENDO Zanzibar Salim Biman leo 30/01/2024 amewakabidhi barua za Uteuzi Makatibu wote wa Mikoa ya Unguja na kuwataka waaze kazi ya kusimamia shuhuli zote za Chama katika ngazi za Mkoa

Kaimu Naibu Katibu wa chama cha ACT WAZALENDO Zanzibar Salim Biman leo 30/01/2024 amewakabidhi barua za Uteuzi Makatibu wote wa Mikoa ya Unguja na kuwataka waaze kazi ya kusimamia shuhuli zote za Chama katika ngazi za Mkoa
account_circle
Dotto Rangimoto🇹🇿🇨🇳(@JiniKinyonga) 's Twitter Profile Photo

ACT YAANZA MCHAKATO KUMRITHI ZITTO

Chama cha ACTWazalendo kimeanza mchakato wa Uchaguzi wa viongozi wa kitaifa ikiwemo nafasi ya Kiongozi wa Chama inayoshikiliwa na Zitto MwamiRuyagwa Kabwe. Zitto anamaliza muda wake Machi, 2024 kwa mujibu wa Katiba ya ACT WAZALENDO.

Gazeti ni ©Mwananchi

ACT YAANZA MCHAKATO KUMRITHI ZITTO Chama cha @ACTwazalendo kimeanza mchakato wa Uchaguzi wa viongozi wa kitaifa ikiwemo nafasi ya Kiongozi wa Chama inayoshikiliwa na @zittokabwe. Zitto anamaliza muda wake Machi, 2024 kwa mujibu wa Katiba ya ACT WAZALENDO. Gazeti ni ©Mwananchi
account_circle
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe(@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Dear friends, supporters and all those keen on strengthening our democracy through strong political parties. We ask for your much needed financial support and contributions to enable us to hold our National Elective Congress on March 2nd and 3rd, 2024. Details on how to make…

Dear friends, supporters and all those keen on strengthening our democracy through strong political parties. We ask for your much needed financial support and contributions to enable us to hold our National Elective Congress on March 2nd and 3rd, 2024. Details on how to make…
account_circle
Kassala(@Vicent_Kassala) 's Twitter Profile Photo

Nini siri ya mafanikio haya?

Ukiacha jitihada kubwa na mshikamano walionao viongozi wetu, siri ya mafanikio haya ni moja. ACTWazalendo kinaendeshwa KISAYANSI. Tunaongoza chama chetu strictly kwa kuzingatia misingi ya kisayansi. Maamuzi yanafanywa kisayansi.

Nini siri ya mafanikio haya? Ukiacha jitihada kubwa na mshikamano walionao viongozi wetu, siri ya mafanikio haya ni moja. @ACTwazalendo kinaendeshwa KISAYANSI. Tunaongoza chama chetu strictly kwa kuzingatia misingi ya kisayansi. Maamuzi yanafanywa kisayansi. #TheFutureIsPurple
account_circle
Ndolezi(@Ndolezi_Petro) 's Twitter Profile Photo

Tunakushukuru Kc Zitto MwamiRuyagwa Kabwe kwa utumishi wako na sasa unakwenda kuwa KC mstaafu jambo ambalo Africa limekuwa gumu viongozi wa vyama kuheshimu Katiba. Wewe ni mfano bora wa tafsiri ya demokrasia.

Tunakushukuru Kc @zittokabwe kwa utumishi wako na sasa unakwenda kuwa KC mstaafu jambo ambalo Africa limekuwa gumu viongozi wa vyama kuheshimu Katiba. Wewe ni mfano bora wa tafsiri ya demokrasia.
account_circle
Bonifasia Mapunda(@BonfasiaMapunda) 's Twitter Profile Photo

Tulianzia Dar Es Salaam uzinduzi wa Mikutano ya hadhara na leo 21 Januari,2024 tumefunga na Dar Es Salaam uchaguzi wa Mikoa. Asanteni Viongozi wa Dar Es Salaam kwa kuchangia kuwezesha mkutano Mkuu wa ACT Wazalendo Taifa.

Tulianzia Dar Es Salaam uzinduzi wa Mikutano ya hadhara na leo 21 Januari,2024 tumefunga na Dar Es Salaam uchaguzi wa Mikoa. Asanteni Viongozi wa Dar Es Salaam kwa kuchangia kuwezesha mkutano Mkuu wa ACT Wazalendo Taifa.
account_circle
Ndolezi(@Ndolezi_Petro) 's Twitter Profile Photo

Majimbo 10 ya Mkoa wa Dar Es Salaam leo 21 Januari,2024 yamekutana na kukamilisha Mkutano Mkuu wa ACT Wazalendo Mkoa. Tulianzia Dar Es Salaam uzinduzi wa Mikutano ya hadhara na leo tumemalizia Dar Es Salaam uchaguzi wa Mikoa. Mgeni rasmi ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar,Othman Masoud Othman

Majimbo 10 ya Mkoa wa Dar Es Salaam leo 21 Januari,2024 yamekutana na kukamilisha Mkutano Mkuu wa ACT Wazalendo Mkoa. Tulianzia Dar Es Salaam uzinduzi wa Mikutano ya hadhara na leo tumemalizia Dar Es Salaam uchaguzi wa Mikoa. Mgeni rasmi ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar,@othmasoud
account_circle
ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Hatimaye uchaguzi ngazi za mikoa umehitimishwa leo ambapo mkoa wa Dar es salaam umechagua viongozi wake. Mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Zanzibar, Mh. Othman Masoud Othman.

Sasa mikoa yote 39(mingine ya kichama) ina viongozi wake kwa miaka 5 ijayo.

Hatimaye uchaguzi ngazi za mikoa umehitimishwa leo ambapo mkoa wa Dar es salaam umechagua viongozi wake. Mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa @ACTwazalendo Zanzibar, Mh. @othmasoud. Sasa mikoa yote 39(mingine ya kichama) ina viongozi wake kwa miaka 5 ijayo. #TaifaLaWote…
account_circle
Ismail Jussa(@IsmailJussa) 's Twitter Profile Photo

📍Dar es Salaam

Hatimaye imefunga kazi leo kwa kuwa Mkoa wa 39 kichama kukamilisha Mkutano Mkuu wa Mkoa huo na kuchagua Viongozi wake kwa miaka 5 ijayo. Mgeni Rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo (Zanzibar), Mhe. Othman Masoud Othman.

📍Dar es Salaam Hatimaye #DarEsSalaam imefunga kazi leo kwa kuwa Mkoa wa 39 kichama kukamilisha Mkutano Mkuu wa Mkoa huo na kuchagua Viongozi wake kwa miaka 5 ijayo. Mgeni Rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa @ACTwazalendo (Zanzibar), Mhe. Othman Masoud Othman. #TheFutureIsPurple
account_circle
Dotto Rangimoto🇹🇿🇨🇳(@JiniKinyonga) 's Twitter Profile Photo

Ahsante sana Viongozi wa Mkoa wa Pwani kwa mchango wenu wa kufanikisha Mkutano Mkuu wa ACTWazalendo. Mwanachama na mdau wa demokrasia unaombwa uchangie Mkutano Mkuu wa Uchaguzi kadiri ya uwezo wako.


Ahsante sana Viongozi wa Mkoa wa Pwani kwa mchango wenu wa kufanikisha Mkutano Mkuu wa @ACTwazalendo. Mwanachama na mdau wa demokrasia unaombwa uchangie Mkutano Mkuu wa Uchaguzi kadiri ya uwezo wako. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
account_circle