Annastazia Rugaba-Marondo
@annarugaba
A wife, a mother, a mentor and a communication specialist...
ID:44646077
http://www.dfm.co.tz/ 04-06-2009 15:53:53
595 Tweets
1,2K Followers
409 Following
Namtunuku recognition hii pia mama yangu mzazi mpambanaji Dorothy Kajuga Rugaba ambaye amekuwa kioo cha mawaridi wajane shupavu.
Ni matumaini yangu #waridiwabbc itaibua untold stories nyingi zaidi za mawaridi wa kitanzania siku za usoni
Once again, asanteni sana. I am humbled
Asante sana BBC News Swahili kwa 'unexpected recognition' sikuitarajia! Naomba kuitunuku kwa mawaridi wote Tanzania wanaopambana usiku na mchana, mvua na jua, kutimiza ndoto zao na za vizazi vyao
Shindano la awamu ya nne mwaka 2024, litaanza tarehe 1 Mei 2024, kwa lengo la kuhamasisha wananchi kutambua maeneo ya kuboresha nchini na, zaidi ya yote, kupendekeza maono ya kibunifu ambayo yanaweza kutekelezwa kuanzia miaka 5, 10, 15 hadi 25 ijayo.
#TanzaniaTuitakayo
Ungana na Jamii Forums na Twaweza - ni sisi katika Uzinduzi wa Shindano la 'Stories of Change' yenye kauli mbiu ya #TanzaniaTuitakayo !
Uzinduzi utanyika leo Aprili 19, 2024 kuanzia Saa 8 Mchana jijini Dar es Salaam.
'Tayari kuna watu wengi katika mitandao ya kijamii. Na ndio maana kuna umuhimu wa kuendelea kuwekeza katika majukwaa haya ili wananchi waweze kutoa maoni kwa uhuru na kwa urahisi. - Annastazia Rugaba-Marondo, Mkurugenzi Utetezi, Twaweza wakati wa uzinduzi wa shindano la 'Stories of Change'…
Join Hempel Foundation at the Marmalade Festival, a dynamic side event of Skoll World Forum on April 11 in Oxford! Explore impactful strategies for tackling the #GlobalLearningCrisis and transforming education systems at scale.
Hosted by Rosa Robinson, Hempel Foundation's Senior…