Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

“Wote tunaitaka hiyo katiba mpya…” - Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla akielezea lini na namna gani katiba mpya itapatikana.


Wahariri | Onike Masayanyika, John Mbalamwezi

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Karibu tukupitishe vichwa mbalimbali vya habari vilivyojiri kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Mei 06, 2024.

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amefunguka sababu zinazofanya chama hicho kuingia mtaani na kusikiliza kero za wananchi ili hali mamlaka husika za kutatua kero hizo zipo.



Wahariri | Onike Masayanyika, John…

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Watu wanne wanaodaiwa kujihusisha na kutoa mikopo nje ya utaratibu, wanatarajia kufikishwa mahakamani baada yakukamatwa wakiwa na kampuni tatu feki zinazotoa ‘mikopo kausha damu’.


Wahariri | Onike Masayanyika, John Mbalamwezi

account_circle
𝗕𝗮𝗿𝗮𝗸𝗮 𝗖𝗹𝗮𝘀𝘀𝗶𝗰(@Fahariyakusini) 's Twitter Profile Photo

Baadhi ya mabasi yamerejea mkoani Mtwara na kuendelea na safari kwenda Dar es Salaam kupitia Tunduru, Songea, Makambako, Iringa, Morogoro kisha Dar es Salaam huku nauli ikiwa shilingi 120,000.

Via/Source Azam TV

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Jeshi la Polisi mkoani Singida limesema watu wawili watapandishwa kizimbani kwa mashitaka ya kuhusika na kupotea kwa wafanyabiashara wawili mkoani humo miezi minne iliyopita.


Wahariri | Onike Masayanyika, John Mbalamwezi

account_circle
sunil Yadav(@ya75340819) 's Twitter Profile Photo

आजमगढ़ में जो भी काम हुआ है ओ केवल केवल सपा सरकार में ये बात हम नही खुद सुन लो आप Samajwadi Party
Akhilesh Yadav
@dineshlalyadav

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Serikali imeombwa kuingilia kati ili haki ipatikane kwa binti wa miaka minane anayedaiwa kubakwa na jirani yao. Hadi sasa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa dhidi ya mtuhumiwa.



Wahariri |Onike Masayanyika, John Mbalamwezi

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Watu wanne akiwemo raia wa Kenya, Javani Ochengi mkazi wa Kimara Dar es Salaam wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu.



Mhariri | John Mbalamwezi

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo


Mbunge wa Makete, Festo Sanga ameiomba serikali kufikiria uwezekano wa kuanzisha taasisi zitakazopewa majukumu ya kusaidiana na Shirika la Ugavi wa Umeme nchini TANESCO ili kulipunguzia mzigo wa kazi tatu kubwa.

Huyu hapa FESTO RICHARD SANGA Bungeni leo Mei 3,…

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Mmoja wa watu walioshiriki kwenye tukio la kihistoria la kuchanganya udongo siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Hasaniel Elisaeli Mrema, amefariki dunia nyumbani kwake Old Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya kuugua kwa muda mrefu.


Wahariri | Tuya Ibrahim,…

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kuwa anafanyia kazi mpango wa bima ya afya ya NHIF ili iweze kutumika katika kuwaona madaktari bingwa na kuwezesha wananchi kupata huduma kwa gharama nafuu.


Wahariri | Tuya Ibrahim, John Mbalamwezi

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

| Rais Samia Suluhu Hassan alivyowasili Uwanja wa Uhuru kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano.

Wahariri | Onike Masayanyika na Claud J Mshana

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Day2024 | Gwaride maalum la maadhimisho ya miaka 60 ya lilivyounda umbo maalum lenye mchanganyiko wa herufi na tarakimu zinazosomeka

Wahariri | Onike Masayanyika na Claud J Mshana

60

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Idadi ya vifo vilivyotokana na mvua kubwa za El Nino zilizoambatana na upepo mkali, mafuriko na maporomoko ya udongo maeneo mbalimbali hapa nchini vimeongezeka na kufikia 161 kutoka vifo 155.


Wahariri | John Mbalamwezi

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Serikali imelipa fedha tasilimu shilingi trillioni 10.1 kati ya trilioni 23.3 kwa mkandarasi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), huku shirika la reli (TRC) likisema safari za treni hiyo kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma zitaanza mwezi Julai.



Habari | George Mbara…

account_circle
Azam TV(@azamtvtz) 's Twitter Profile Photo

Wanafunzi watatu wa Sekondari ya Mtakatifu John Paul II ya mkoani Shinyanga wamefariki dunia kwa kukosa hewa safi walipokuwa wakitoa mahindi kwenye ghala la chakula la shule hiyo.


Wahariri | Onike Masayanyika, John Mbalamwezi

account_circle