Azam TV
@azamtvtz
Watch your favorite shows on https://t.co/6bgggrv4QE | 📞 +255784108000
ID:1629945110
http://azamtv.co.tz/tan 29-07-2013 09:22:06
93,7K Tweets
1,3M Followers
207 Following
#NBCPremierLeague Kesho Jumanne ni JKT Tanzania vs Yanga........
Kuelekea mchezo huo, hawa hapa makocha wa pande zote mbili ambapo JKT wanasema wamekwishaisoma Yanga kiasi cha kutosha hivyo wanajua cha kufanya ili kupata ushindi kwenye mchezo huo.....
#YangaSC #JKTTanzania
MUUNGANO CUP: Azam FC haoooooooo Zenji kwa ajili ya michuano ya Kombe la Muungano.
Mara baada ya kuwasili Zanzibar, afisa habari wa timu hiyo, Hasheem Ibwe anatoa kuhusu malengo na maandalizi yao kuelekea michuno hiyo.
#MuunganoCup 2024 #MuunganoCup #KombeLaMuungano
MUUNGANO CUP: Michuano ya Kombe la Muungano inaanza rasmi kutimua vumbi Jumatano Aprili 24, 2024 visiwani Zanzibar…. Waamuzi watajwa akiwemo Arajiga na Komba.
Hii hapa taarifa kamili ikiwekwa wazi na Katibu Mkuu wa ZFF, Hussein Ahmada.
#MuunganoCup 2024 #MuunganoCup
#KariakooDerby Sasa yasikilize ‘in English’, kutoka kwa Otai Peter
“Beauty Beauty Football”.
Je, ‘una-enjoy’ zaidi ukiyasikiliza kwa lugha ipi?
FT: Yanga SC 2-1 Simba SC
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #KariakooDerby
MSIMAMO: Nafasi ya nne vita inazid kuwa kali….!!! Wapo zaidi ya wanne wanaoitolea macho…
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #Msimamo #Standing #LeagueTable
#NBCPL Imemalizika....
FT: TZ Prisons 0-0 Kagera Sugar
#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #TanzaniaPrisons #KageraSugar #PrisonsKageraSugar
Burudani kidogo kutoka kwa Stephane, Aziz Ki; Singida FG vs Yanga Aprili 14, 2024.
#NBCPremierLeague #NBCPL #LigiKuuYaNBC #AzizKi #Nyavuni
#NBCPL Hakuna goli hadi sasa….
HT: TZ Prisons 0-0 Kagera Sugar
LIVE #AzamSports1HD
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #TanzaniaPrisons #KageraSugar #PrisonsKageraSugar
JKT TANZANIA vs YANGA: Baada ya hekaheka za #DerbyYaKariakoo , kikosi cha Yanga kesho kitashuka tena dimbani kuzisaka alama tatu za NBC Premier League dhidi ya wenyeji wao JKT Tanzania kwenye uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Mbweni Dar es Salaam.
Wananchi wataondoka na alama
LEO USIKU NDANI YA BUNJI SERIES
Kimewaka kijijini kunachafuka na mpaka sasa haieleweki waliokuja kuvamia kijiji ni wakina nani na wanataka nini kwa Bunji? Nani ataiokoa Kawetele? Usikose kufuatilia tamthilia hii kuanzia saa 1:30 usiku kupitia #SinemaZetu pekee.
Zaidi ya kaya 50 kutoka kata ya Kahororo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera zinaomba msaada kwa serikali baada ya nyumba zao kujaa maji na kusababisha wakose sehemu ya kuishi.
#AzamTVUpdates
Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imesema kuwa kuna upungufu wa walimu 39, 610 wa masomo ya hisabati na sayansi katika shule za sekondari nchini.
#AzamTVUpdates
Wahariri : Tuya Ibrahim, John Mbalamwezi
#BreakingNews
Watu 13 wamefariki dunia na wengine wamejeruhiwa kufuatia ajali ya basi dogo la abiria aina ya Coaster iliyokuwa ikitokea Somanga kuelekea Kilwa Kivinje kugongana uso kwa uso na roli la mafuta.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi, John Imori amethibitisha