Sifa Za Chifu Tereza Mwami Ntare
Alikuwa Jasiri
Alikuwa na Fukuto
Alikuwa Mchapakazi
Alikuwa Mwenye Maadili Mema ya Kitanzania
Yote kwa Yote Alikuwa Mwanamke Mrembo sana na Mwenye Heshima
#MwamiTerezaNtare
#HerStoryCoalition
Baadhi Ya Picha Za Matukio katika kuadhimisha na Kusherekea Mafanikio ya Mwami Tereza Ntare II Chifu wa kwanza Mwanamke akitokea Kigoma
#HerStoryCoalition
#MwamiTerezaNtare
“Sisi kama vijana viongozi na wanawake kitu ambacho tunatakiwa kuondoka nacho leo ni kukumbuka unatokea wapi, umepita wapi hakikisha uongozi wako unaleta matokeo chanya katika Jamii” Ishengoma Irene
#MwamiTerezaNtare
#HerStoryCoalition
Leo tupo hapa Makumbushon ya Taifa kusherehekea mafanikio ya Mwami TEREZA NTARE II wa Kigoma..
Chifu wa kwanza
Mwanamke huyu Kiongozi Shujaa.
#MwamiTerezaNtare
#HerStoryCoalition Cc @WomeFund_TZ Msichana Initiative Soma
Makundi mbalimbali ya washiriki wakiendelea kusikiliza hadithi ya mambo makubwa aliyofanya #MwamiTerezaNtare
#HerStoryCoalition
Tunawatakia ijumaa njema.. tuendelee kukumbuka na kusisitiza jamii yetu kuziandika, kuzitangaza na kuzihifadhi hadithi za mafanikio ya wanawake(HerStories) katika nyanja mbalimbali ili vizazi vya sasa na vijavyo viweze kujifunza kupitia hizo hadithi.
#HerStoryCoalition
Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh Dr Damas Ndumbaro akiwasili ukumbini kwa ajili ya kusherehekea mafanikio ya Kiongozi Shujaa Mwami Tereza Ntare
#MwamiTerezaNtare
#HerStoryCoalition