Kumekucha Msikilizaji! Wikendi ilikuaje? Tuanze wiki Kwa baraka kwenye mpango mzima #AsheBreakfast na Emmanuel Matano Radio Ashe . Wakaribishe wawili tukisonga
Call 07 12 00 00 14. Sms/Whatsapp 07 12 04 00 10
Bwana nifinyange, wakinitazama wakuona wewe, Amina! Good morning, wikendi ilikuaje? Karibu kwa wiki mpya, pokea baraka za wiki na wacha waone Mungu ndani yako. Isaiah 54:2 Enlarge,stretch! Gen 1:18 fruitfulness Radio 47 #NuruNaEvahMwalili
#NuruNaEvahMwalili
#videocreator Mugambiiii atakuwa nasi kwa #ILIKUAJE saa saba. Usikose mohojiano na Massawe Japanni
#JamboMassawe #KituoChaWakenya
Tutakuwa na mheshimiwa Hon Millicent Omanga leo kwa #ILIKUAJE . Ni swali gani ungependa kumuuliza?
☎️ 0204445975 ✉️ 22494
Massawe Japanni #JamboMassawe #KituoChaWakenya
Mwanamuziki ringtone apoko atakuwa nasi kwa mahojiano saa saba. Usikose!
Massawe Japanni
#ILIKUAJE #JamboMassawe #KituoChaWakenya
Hivi Man u ilikuaje mkaenda kutoa pesa E100 kwa Anthony 😀 hamkumuona ata huyu mtoto 😀ety George Ambangile 😀😀
Mbunge was Langata JALANG'O atakuwa nasi kwa mahojiano saa sita. Una swali kwake, tuma ujumbe kwa 22494.
Massawe Japanni #ILIKUAJE #JamboMassawe #KituoChaWakenya