Simba Sc Mabingwa Kombe la Muungano 2024
#SAUTDIGITAL l #HABARI l #sautdigitalupdates l #michezo l #MuunganoCup
🎙️FULL TIME: MUUNGANO CUP🇹🇿
KVZ 0-2 SIMBA SC
25’—⚽️ Freddy Michael
90’—⚽️ Israel Mwenda
.
✅ SIMBA SC wamefuzu Fainali ya Kombe la #MuunganoCup na wanamsubiri Mshindi kati ya Azam FC dhidi ya KMKM SC.
Michuano ya Kombe la Muungano inafikia tamati leo kwa mechi ya fainali kupigwa.
Ni Mzizima Derby, Simba SC dhidi ya AzamFC.
Mchezo huu utaruka mbashara kupitia #AzamSports1HD kuanzia saa 2:15 usiku
Je, ni Mnyama ama Matajiri wa Chamazi nani kubeba kombe hili?.
#MuunganoCup
MUUNGANO CUP: Nusu fainali Kombe la Muungano, Mnyama Simba SC kukipiga na KVZ wakati AzamFC kumenyana na KMKM.
Michezo hii kuruka mbashara kupitia #AzamSports1HD
Je, ni timu gani kutinga fainali?.
#MuunganoCup #KVZSimba #AzamFCKMKM
Micky Jnr OFFICIAL
The referees who will play the Union Cup championship starting today in Zanzibar.....three are from #NBCPremierLeague and four are from #PBZPremierLeague
Today is Simba vs KVZ at 20:15 pm.
#TanzaniaUnionSuperLeague #Muungano League #Muungano Cup #KombeLaMuungano
BREAKING NEEEWS..!! KOMBE LA KWANZA LA MNYAMA..!!
FT: SIMBA SC 1-0 AZAM FC
77’—⚽️Babacar Sarr
#MuunganoCup
Walau jana tumepata cha pili.
#muunganocup
Tujifunze kusherekea ushindi na mafanikio kidogo tunayoyapata katika maisha haijalishi tuliyakosa na kuyapoteza.
Simba #NguvuMoja
Dakika 90 zimemalizika uwanja wa New Amaan Complex na Simba SC imepata ushindi wa mabao 2-0 mbele ya KVZ .
FULLTIME | KVZ 0-2 SIMBA SC
⚽️Freddy Michael
⚽️ Israel Mwenda
Rasmi sasa Simba wamefuzu Fainali ya Kombe la #MuunganoCup na wanamsubiri Mshindi kati ya Azam FC dhidi ya…
FULL-TIME: Simba SC 1-0 Azam FC
77' Babacar Sarr ⚽
🎇Klabu ya Simba ndio Mabingwa wa Muungano Cup 2024 🏆🔴🦁
#MuunganoCup #MuunganoCup 2024 #Simba
#MuunganoCup : Huu ndiyo muda sahihi wa timu ya Simba kuhamia ligi kuu Zanzibar
FT: KVZ 0 - 2 Simba (Freddy Kouablan 25) (Israel Patrick Mwenda 95)
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio #MuunganoCup #KVZFC #SimbaSC #KVZSimba