Waathiriwa Wa Mai Mahiu
Wakenya wajitokeza kuwapikia waathiriwa wa mkasa wa maji, kuwapa ushauri nasaha na hata kutenga maeneo ya watoto kucheza.
#NTVJioni Nuru AbdulAziz George Kieru
Afueni Ya Leba Dei
Rais Ruto atangaza nyongeza ya mshahara wa chini kwa 6%, japo kwa masharti.
Hili limewakera wafanyakazi waliohudhuria sherehe hizi za leba za 59.
#NTVJioni Nuru AbdulAziz Lofty Matambo
Maadhimisho Ya Leba Dei
'Zakayo ni jina tu,' Rais Ruto asisitiza kwamba mipango ya serikali iliyopo lazima ifaulu.
#NTVJioni Nuru AbdulAziz Chazima on X
Tahadhari Ya Mvua Kubwa:
Rais Ruto ameongoza kikao cha dharura kukabiliana na mafuriko yanayoendelea kote nchini.
Watu zaidi ya 1,000 wameachwa bila makao na wengine zaidi ya 10 kufariki.
#NTVJioni Fridah Mwaka Fatuma Bugu
Mafuriko Yasababisha Maafa:
Zaidi ya watu 12 wameaga dunia katika kaunti ya Nairobi na Kajiado kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha.
Wakazi wa mitaa mbalimbali nchini wanakadiria hasara.
#NTVJioni Nuru AbdulAziz Fatuma Bugu