'Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena' - Nape Moses Nnauye
#Kurasa365ZaMama
#NaniKamaMama
#7bisha
Mwambie neno lolote Mama siku ya leo kwa mema aliyokutendea naitaji Retweets nyingi ili tuwakumbushe watu wote umuhimu wa Mama
#NaniKamaMama
Asante sana Rais wetu Samia Suluhu kwa kuonesha Mfano mzuri na jitihada za kupambana na janga hili la Corona… Watanzania tunaona juhudi zako 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 #nanikamamama 😍😍😍
The Party Branches Revitilization continues. Party Representatives from Naivasha and Gilgil Subcounties, Nakuru County. The love for our PL Martha Karua SC is overwhelming.
#UONGOZIBORA
#FORMNIMAMA
#NANIKAMAMAMA
Mwananchi Communications Limited tunapenda kuwatakia akina mama wote, Heri ya siku ya Mama Duniani.
#nanikamamama #sikuyamama
RT @Harlemz2: Safari imeanza #HapaKaziTu #MkutanoJangwani #NaniKamaMama #MwanamkeShujaa Chama Cha Mapinduzi @retweet_Tz pic.twitter.com/AUW9c8y3oV
Hili ndilo tabasamu letu katika kusherekea siku ya mama duniani #NaniKamaMama 🎊. #SikuayaMamaDuniani
NJORO TECHNICAL TRAINING INSTITUTE COMPLETE.
First intake, January 2023.
My pioneer project
#NaniKamaMama
#Keepingthepromise
Tunaokoa 1.7Bil kwa mwaka tulizokuwa tunatumia kununua mafuta ili kusambaza umeme Loliondo. Katika kipindi cha mwaka mmoja cha Rais. Samia Suluhu Hassan, mradi wa Bwawa la kuzalisha Umeme la Mwalimu Nyerere linajengwa kwa kasi kiasi umefikia 60% kwa sasa.
#NaniKamaMama