Azimio la kuelekea UCHUMI WA KIDIJITALI, je bajeti ya Serikali kupitia wizara husika imewekeza katika azimio hili?
#HakiZaKidijitali #MitandaoNaSisi #SautiZao
Ni stori gani huvuta zaidi umakini wa vijana pale wanapokutana? (VIJIWE vya MTANDAONI)
#SautiZao #HakiZaKidijitali #MitandaoNaSisi
Mapinduzi ya teknolojia ya Ai yanaathari zipi katika tasnia ya habari?
#SautiZao #MitandaoNaSisi #HakiZaKidikitali
Maoni, mahitaji, na masuala yanayohusu makundi ya pembezoni, kama vile wanawake na vijana, yanapewa kipaumbele na kusikilizwa katika vyombo vya habari.
#SautiZao #MitandaoNaSisi #HakiZaKidijitali
Kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ni muhimu kwa lengo la kuendeleza mawasiliano kati ya viongozi na raia.
Tuhamie mtandaoni!
Mvua isiwe kikwazo cha kutoa maoni na kujenga jamii imara.
#SautiZao #MitandaoNaSisi #HakiZaKidijitali
Behind the scenes huwa ina mambo mengi sana 😂
Hapa host wetu wa #SautiZao Youtube Series aligoma kuingia kwenye maji na Wavuvi - Lake Victoria
Yaani uoga na hasira kabisa 😂 #Production #BehindTheScenes
#UraiaWaKidijitali
Ukipigwa mtandaoni unaenda wapi?
Vijana wa Singida waliulizwa maswali kuchagiza ufahamu wao kuhusu haki zao za kidijitali.
#SautiZao #DigitalRightsTZ #MitandaoNaSisi
#InternationalYouthDay It's important for parents to find balance between allowing their children to explore and learn with technology while also setting limits and ensuring their safety online. Open communication and monitoring 👦🏾👦🏾📹
#Sautizao #hakizakidijitali #Mitandaonasisi
Wikiendi murua ya kufahamu zaidi kuhusu #UraiaWaKidijitali kupitia Swahili Central
Catch na #SautiZao hapa - youtu.be/hXTo8u8HMh8?si…