Leo ndio ndio siku rasmi ya kusomwa Bajeti ya Wizara ya Kilimo , Bajeti inayowagusa Watanzania Wengi, kwa sababu ndio uti wa mgongo wa Mtanzania.
Usikose kusikiliza, mikakati mipya, changamoto na Mafanikio #BajetiKilimo
Leo ndio ndio siku rasmi ya kusomwa Bajeti ya Wizara ya Kilimo , Bajeti inayowagusa Watanzania Wengi, kwa sababu ndio uti wa mgongo wa Mtanzania.
Usikose kusikiliza, mikakati mipya, changamoto na Mafanikio #BajetiKilimo
Zimebaki siku 2 kuelekea maadhimisho ya miaka 10 ya ACTWazalendo.
#TwenzetuKigoma
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
#VIDEO Mdau wa #SupaBreakfast amesema kwamba pengine serikali imeamua kuweka usiri na kuamua kutotangaza nyongeza ya mshahara siku ya jana
#EastAfricaRadio
Masaibu ya madaktari:
Madaktari wapewa barua za makatakaa
Wametakiwa kujieleza kwanini hawako kazini
Mgomo wa madaktari umeingia siku ya 50
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla