Mapokezi ya KC Dorothy Semu Kilimanjaro.
#TwenzetuKilimanjaro
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Maadhimisho ya miaka 10 ya ACTWazalendo.
Super proud of this political movement
#TwenzetuZanzibar
#TwenzetuMoshi
#TwenzetuKigoma
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
'Serikali inashikilia shilingi bilioni 208 inayodaiwa na NHIF, CAG katika ripoti yake 2022/23 ameonesha Serikali inadaiwa na NHIF kutokana na fedha ilizokopa tangu mwaka 2020.'
Kiongozi wa ACTWazalendo
Dorothy Semu
#RipotiyaCAG
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Ni leo ACTWazalendo inafanya uchambuzi wa Ripoti ya CAG. Usiwache kufuatilia.
Wasemaji wa Kisekta
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Leo kwenye Kongamano la Ngome ya vijana_Official wa chama cha ACTWazalendo linafanyika Ukumbi wa #PiccaDillyHall -Kombeni ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Mhe Othman Masoud Othman M'Kiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa.
Nipo na Naibu katibu Vijana Ruqayya Mahmoud Nassir
#10MamlakaKamili
'Kuhusu kikokotoo; tunaitaka serikali kurejesha kanuni za zamani za mwaka 2017, wastaafu walipwe 50.5 kiinua mgongo, kwa kikoktoo 1/540 na kwa miaka 15.'
Waziri Kivuli wa Utumishi wa Umma na Utawala wa ACTWazalendo
Riziki S. Mngwali
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
'ACT Wazalendo tunaona mfumo mzima wa huduma za afya unapaswa kufanyiwa mabadiliko kwa kufungamanisha Bima ya Afya na Hifadhi ya Jamii.'
Kiongozi wa ACTWazalendo
Dorothy Semu
Wasemaji wa Kisekta
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
'Kuhusu kikokotoo; tunaitaka serikali kurejesha kanuni za zamani za mwaka 2017, wastaafu walipwe 50.5 kiinua mgongo, kwa kikoktoo 1/540 na kwa miaka 15.'
Waziri Kivuli wa Utumishi wa Umma na Utawala wa ACTWazalendo
Riziki S. Mngwali
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
'Serikali inashikilia shilingi bilioni 208 inayodaiwa na NHIF, CAG katika ripoti yake 2022/23 ameonesha Serikali inadaiwa na NHIF kutokana na fedha ilizokopa tangu mwaka 2020.'
Kiongozi wa ACTWazalendo
Dorothy Semu
#RipotiyaCAG
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Ni Aprili 27, 2024 Mkoani Kilimanjaro utafanyika Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia. Mwenyekiti wa mkutano huo ni Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Dorothy Semu.
#TwenzetuKilimanjaro
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
1/2
TUNATAKA NISHATI YA UHAKIKA NCHINI.
Uchambuzi wa ACTWazalendo kuhusu Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa Mwaka wa Fedha 2024/25
Waziri Kivuli wa Nishati
Mwl. Macheyeki Philbert Jr
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Maadhimisho ya miaka 10 ya ACTWazalendo. Ni miaka 10 ya kupigania Maslahi ya Wote; na ni miaka 10 kupigania Mamlaka Kamili.
#TwenzetuZanzibar
#TwenzetuMoshi
#TwenzetuKigoma
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Fuatilia hapa mubashara Kongamano la Ngome ya vijana_Official
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
youtube.com/live/jtBFpYLqc…
Kwenye Mkutano wa Demkrasia tarehe 27 Aprili 2024, tunajitosa na mvua kushuhudia Miaka 10 ya ACTWazalendo kupigania Utu, Uwazi na Uwajibikaji, huku Dorothy Semu akitukaribisha ndani ya Wilaya ya Moshi.
#TwenzetuKilimanjaro
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Ukumbi wa Hakainde Hichilema, ulioko kwenye Jengo la Maalim Seif Magomeni Dar es salaam. Hapa ndiko chama kiongozi; chama cha ACTWazalendo kitafanya uchambuzi wa Ripoti ya CAG.
Usiwache kufuatilia kwani tutakuwa mubashara.
Wasemaji wa Kisekta
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
'ACT Wazalendo tunaona mfumo mzima wa huduma za afya unapaswa kufanyiwa mabadiliko kwa kufungamanisha Bima ya Afya na Hifadhi ya Jamii.'
Kiongozi wa ACTWazalendo 'KC'
Dorothy Semu
Wasemaji wa Kisekta
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili