GENDER Tz(@RuralGirlsTz) 's Twitter Profile Photo

Moja ya njia ya kujikinga dhidi ya COVID-19 ni kuosha mikono kwa maji safi na salama pamoja na sabuni.
Tuendelee kulinda vyanzo vya maji ili tupate kujikinga na COVID19.


Moja ya njia ya kujikinga dhidi ya COVID-19 ni kuosha mikono kwa maji safi na salama pamoja na sabuni.
Tuendelee kulinda vyanzo vya maji ili tupate kujikinga na COVID19.
#UsiipuuzeCOVID19
#SikuYaMajiDuniani
#SemaNae
account_circle
Go plant Tanzania(@GoplantTanzania) 's Twitter Profile Photo

'KILA TONE LINA THAMANI KUBWA USILIPOTEZE' 💧💧💧

SIKU YA MAJI DUNIANI izidi kututafakarisha, kuhusiana na UTUNZAJI wa mazingira. ILi vyanzo vya maji viendelee kuwa salama.



'KILA TONE LINA THAMANI KUBWA USILIPOTEZE' 💧💧💧

SIKU YA MAJI DUNIANI izidi kututafakarisha, kuhusiana na UTUNZAJI wa mazingira. ILi vyanzo vya maji viendelee kuwa salama.

#SikuYaMajiDuniani 
#GoPlantTanzania 
#MazingiraYanguTanzaniaYanguNitaipendaDaima
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

''Kumekuwa na kasi ndogo ya usambazaji wa maji kwa wananchi, miradi inafika kwenye maeneo sawasawa na umeme tunasema vijiji vyote vimepata umeme unaweza kusema vijiji huko vinawaka umeme, kumbe vimepitiwa tu na umeme kuna kazi ya usambazaji'' -Samia Suluhu

''Kumekuwa na kasi ndogo ya usambazaji wa maji kwa wananchi, miradi inafika kwenye maeneo sawasawa na umeme tunasema vijiji vyote vimepata umeme unaweza kusema vijiji huko vinawaka umeme, kumbe vimepitiwa tu na umeme kuna kazi ya usambazaji'' -@SuluhuSamia 

#SikuYaMajiDuniani
account_circle
Nipashe Tanzania(@Nipashetz) 's Twitter Profile Photo

'Tuna imani kwa kasi hii ya utekelezaji wa miradi ya maji mwaka 2025 hatutakuwa na kazi kubwa' - Kauli ya Katibu Mkuu CCM, Daniel Chongolo wakati akitoa salamu mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Siku ya Maji Duniani

#SikuYaMajiDuniani 'Tuna imani kwa kasi hii ya utekelezaji wa miradi ya maji mwaka 2025 hatutakuwa na kazi kubwa' - Kauli ya Katibu Mkuu CCM, Daniel Chongolo wakati akitoa salamu mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Siku ya Maji Duniani
account_circle
Burhani M Mustapha (Mwagalazi)(@MustaphaBurhani) 's Twitter Profile Photo

Eliza ni Msimamizi WA kituo kimoja cha Maji tulichojenga Kijiji cha BanyiBanyi, Utaratibu, baada ya makusanyo ya siku huwa anapata 10% ya mauzo ya siku nzima, si kwamba miradi hii inawaletea Tu Maji wanakijiji Bali inasaidia kuwainua kiuchumi Kwa namna nyingine

Eliza ni Msimamizi WA kituo kimoja cha Maji tulichojenga Kijiji cha BanyiBanyi, Utaratibu, baada ya makusanyo ya siku huwa anapata 10% ya mauzo ya siku nzima, si kwamba miradi hii inawaletea Tu Maji wanakijiji Bali inasaidia kuwainua kiuchumi Kwa namna nyingine #SikuYaMajiDuniani
account_circle
US Embassy Tanzania(@usembassytz) 's Twitter Profile Photo

Mamilioni ya watu duniani wanakosa huduma ya maji salama ya kunywa, usafi wa mazingira jambo linalochangia kusambaza maradhi. Mustakabali wetu unategemea ulinzi wa rasilimali hizi. Leo tunamuenzi kila mmoja anayeifanya dunia kuwa na usalama zaidi wa maji.

Mamilioni ya watu duniani wanakosa huduma ya maji salama ya kunywa, usafi wa mazingira jambo linalochangia kusambaza maradhi. Mustakabali wetu unategemea ulinzi wa rasilimali hizi. Leo tunamuenzi kila mmoja anayeifanya dunia kuwa na usalama zaidi wa maji. #SikuYaMajiDuniani
account_circle
Yara Tanzania(@TanzaniaYara) 's Twitter Profile Photo

Yara tunasherekea umuhimu wa maji katika maisha ya kila siku, hususani wakulima na wafugaji wanavyo yategemea maji kwenye mazao na mifugo yao.

Yara inawatakia Heri siku ya maji Duniani!





Yara tunasherekea umuhimu wa maji katika maisha ya kila siku, hususani wakulima na wafugaji  wanavyo yategemea maji kwenye  mazao na mifugo yao.

Yara inawatakia Heri siku ya maji Duniani!

#MboleaNiYara
#YaraTanzania
#KnowledgeGrows
#MifugoBoraNaYara
#SikuyamajiDuniani
account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

''Mamlaka za maji nendeni mkasambaze maji kwa wananchi, tumefanya kazi kubwa kusogeza maji lakini bado kupeleka maji kwa wananchi kwahiyo msipumzike, sifa zisiwalevye, malengo ya miradi ni kufikisha maji kwa watu'' - Samia Suluhu

''Mamlaka za maji nendeni mkasambaze maji kwa wananchi, tumefanya kazi kubwa kusogeza maji lakini bado kupeleka maji kwa wananchi kwahiyo msipumzike, sifa zisiwalevye, malengo ya miradi ni kufikisha maji kwa watu'' - @SuluhuSamia 

#SikuYaMajiDuniani
account_circle
Neema Lugangira(@neemalugangira) 's Twitter Profile Photo

Tarehe 3/10/2021 niliandika yangu katika kwenye Gazeti Mwananchi Newspapers kuhusu Umuhimu wa Kunywa Maji na kwakuwa leo ni ni vyema tukajikumbusha kuwa Unywaji Sahihi wa Maji Hulinda Afya ya Mwili hivyo

Tarehe 3/10/2021 niliandika #Makala2 yangu katika #LisheColumn kwenye Gazeti @MwananchiNews kuhusu Umuhimu wa Kunywa Maji na kwakuwa leo ni #SikuYaMajiDuniani ni vyema tukajikumbusha kuwa Unywaji Sahihi wa Maji Hulinda Afya ya Mwili hivyo #MajiNiUhai #MajiNiAfya 

#SDG3 #SDG6
account_circle
Yara Tanzania(@TanzaniaYara) 's Twitter Profile Photo

Katika Siku hii ya Maji Duniani, Yara tunaadhimisha tukitambua umuhimu wa maji na jukumu kubwa lililobebwa na maji katika maisha yetu.

account_circle
EastAfricaTV(@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

''Wizara ya Maji imeanza kuonesha mwelekeo mzuri na kazi mnazofanya zinaridhisha na ndio maana mageuzi ya Januari 2022 Wizara ya Maji sikuigusa kabisa. Kwahiyo mwanangu Aweso bado hujanizingua, lakini hiyo isikupe kichwa ukizingua tu...'' - Rais Samia Suluhu

''Wizara ya Maji imeanza kuonesha mwelekeo mzuri na kazi mnazofanya zinaridhisha na ndio maana mageuzi ya Januari 2022 Wizara ya Maji sikuigusa kabisa. Kwahiyo mwanangu Aweso bado hujanizingua, lakini hiyo isikupe kichwa ukizingua tu...'' - Rais @SuluhuSamia 

#SikuYaMajiDuniani
account_circle
US Embassy Tanzania(@usembassytz) 's Twitter Profile Photo

, Balozi Battle & Green Team US Embassy Tanzania waliungana na zaidi ya watu 800 ktk matembezi ya kujenga ufahamu lengo la pamoja - maji kwa wote. Matembezi hayo ya KM8 yalifuatiwa na mvua za kwanza za msimu Dsm, ishara kubwa ya kuweza kufanikiwa tukifanya kazi pamoja!

#SikuYaMajiDuniani, Balozi Battle & Green Team @usembassytz waliungana na zaidi ya watu 800 ktk matembezi ya kujenga ufahamu lengo la pamoja - maji kwa wote. Matembezi hayo ya KM8 yalifuatiwa na mvua za kwanza za msimu Dsm, ishara kubwa ya kuweza kufanikiwa tukifanya kazi pamoja!
account_circle
HabariLeo(@HabariLeo) 's Twitter Profile Photo

“Pamoja na serikali kuleta fedha nyingi Chalinze lakini matokeo yake yamekuwa yakusuasua'- Waziri wa Maji, Jumaa Aweso


2022

“Pamoja na serikali kuleta fedha nyingi Chalinze lakini matokeo  yake yamekuwa yakusuasua'- Waziri wa Maji, Jumaa Aweso

#SikuYaMajiDuniani
#SikuYaMajiDuniani2022
account_circle
HabariLeo(@HabariLeo) 's Twitter Profile Photo

''Kwa miaka zaidi ya 50 eneo la Halmashauri ya Chalinze kilio cha maji kimekuwa kirefu sana. Mheshimiwa Rais Samia Suluhu leo tunaposimama hapa hatuna budi kusema asante sana kwa kazi uliyotufanyia'' - Ridhiwani Jakaya Kikwete, Ndc


2022

''Kwa miaka zaidi ya 50 eneo la Halmashauri ya Chalinze kilio cha maji kimekuwa kirefu sana. Mheshimiwa  Rais @SuluhuSamia  leo tunaposimama hapa hatuna budi kusema asante sana kwa kazi uliyotufanyia'' - @ridhiwankikwete 

#SikuYaMajiDuniani
#SikuYaMajiDuniani2022
account_circle
HabariLeo(@HabariLeo) 's Twitter Profile Photo

“Miaka 6 iliyopita halmashauri yako ya Chalinze ilianzishwa na zaidi ya bilioni 685.5 zimeletwa kwa ajili ya kusimamia miradi ya maendeleo' Ridhiwani Jakaya Kikwete, Ndc


2022

“Miaka 6 iliyopita halmashauri yako ya Chalinze ilianzishwa na zaidi ya bilioni 685.5 zimeletwa kwa ajili ya kusimamia miradi ya maendeleo' @ridhiwankikwete 

#SikuYaMajiDuniani
#SikuYaMajiDuniani2022
account_circle
Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa(@UNEP_Kiswahili) 's Twitter Profile Photo

Je wajua, kuna ongezeko la uhaba wa maji duniani?

Masuluhisho yanahitaji utashi wa kisiasa, kuimarisha ukusanyaji wa data na ubia wa kukuza mikakati jumuishi ya kusimamia maji.

, pitia masuluhisho ya kudumisha kuwepo kwa maji safi: bit.ly/3TO1b82

Je wajua, kuna ongezeko la uhaba wa maji duniani?

Masuluhisho yanahitaji utashi wa kisiasa, kuimarisha ukusanyaji wa data na ubia wa kukuza mikakati jumuishi ya kusimamia maji.

#SikuYaMajiDuniani, pitia masuluhisho ya kudumisha kuwepo kwa  maji safi: bit.ly/3TO1b82
account_circle
Save the Children Tanzania(@scitanzania) 's Twitter Profile Photo

Mabadiliko ya tabianchi yanaonekana kupitia maji. Katika maeneo mengine, kuna maji mengi kupita kiasi; kwingine, kidogo mno. Katika sehemu kavu zaidi ulimwenguni, maji ardhini huenda yakawa chanzo pekee cha maji kwa watu.

Mabadiliko ya tabianchi yanaonekana kupitia maji. Katika maeneo mengine, kuna maji mengi kupita kiasi; kwingine, kidogo mno. Katika sehemu kavu zaidi ulimwenguni, maji ardhini huenda yakawa chanzo pekee cha maji kwa watu. #SikuYaMajiDuniani #WorldWaterDay
account_circle