Tanganyika 👏🏽
Passport hii ya zamani itukumbushe kuwa Tanganyika ni nchi kama Zanzibar
Tunahitaji serikali ya Tanganyika na serikali tatu
#KatibaMpya #TutaelewanaTu
(Picha kwa hisani ya Hilmi Hilal 🙏🏽)
Nimemsikiliza huyu mzee, to be honest, hata sielewi kabisa hoja zake na mifano anayotoa ni nonsense and irrelevant kabisa . Tundu Antiphas Lissu aendelee kupiga spana kwenye mshono, yaani amewapatia kabisa MaCCM. Yaani mpaka waseme pooooooh 😂🤣 mpaka #TutaelewanaTu
Siku hizi kila nikirudi home after work naingia youtube kumsikiliza Tundu Antiphas Lissu,sina ninachoangalia zaidi ya hotuba za Lissu.
Guys, there is hope with Lissu,a God-given. Let's go with Tundu Lissu. Ukombozi wa Tanganyika #KatibaMpya na ulinzi wa mali zetu.
#TutaelewanaTu
Waliopokea vipande 30 vya fedha kutoka Abdul na mama yake kusaliti harakati leo wamefikiwa 😃
Eti pesa ni pesa tu? Hata pesa za usaliti ni pesa tu? Yuda Eskariote alikuwa na mawazo kama haya … historia imemhukumu
Lisemwalo lipo, kama hakipo linakuja
#TutaelewanaTu mbona?
“Abdul na mama yake”
Ila Tundu Lissu! 🤣🤣🤣
Wanahaha tokea jana l “kujibu mapigo” 😁😁😁
Spana ziendelee 🔧👊🏽
#TutaelewanaTu
“Ametutumia kama toilet paper!”
Tundu Antiphas Lissu anamshushia Samia Suluhu 🤣🤣
Siasa hizi tamu sasa siyo “mama”
Mama!
Chapa spana 🔨🔧 hadi #TutaelewanaTu
youtube.com/live/wlv6VZlic…
‼️ #Tanzania 🚨🚨
Wafamasia wana jambo lao Ummy Mwalimu, MP Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿
Wanataka Mkurugenzi wa Mafunzo Dr Laizer awasikie! Hawana imani na kiongozi wao Thabit S Milandu!
Haya mambo ya mitaala msilete siasa aisee! Haya ni mambo ya taaluma na wadau washirikishwe
#TutaelewanaTu
😓Tundu Antiphas Lissu nimesikitika - we siyo fashisti - sema tu ukweli ndo maana ni kipenzi cha watu! Wanywe panadol kama wanaumia 🤣
Ulipokuwa unatetea Zanzibar ndani ya Muungano walikuwa wanafurahi leo unamchapa mama yao mzanzibari wakuite mbaguzi?
Spana ziendelee 🔧
#TutaelewanaTu
‼️ Leo Chifu Hangaya aka Bi Kizimkazi yuko wapi? 🧐
Amegoma kwenda kuongea na wafanyakazi Arusha - kamtuma makamu wake! Why?
🤣🤣
Spana za Tundu Antiphas Lissu zinaweza zikulaze kitandani kama hujajipanga!
#TutaelewanaTu
‼️Muungano huu ni shida‼️
TANESCO inauzia umeme ZESCO
Lakini ZESCO ilikuwa hailipi na ilikuwa na deni la bilioni 121 wakati wa Magufuli hadi aliamuru wazimiwe umeme
Chini ya Samia Suluhu deni limemalizwa kindugu
Vurugu tupu! #TutaelewanaTu
How it started. How it’s going
👋🏽 ‼️Waulizeni hao mawaziri waliokuja kumsema Lissu na kulialia hapa kuhusu ubaguzi:
Je Zanzibar ni nchi au siyo nchi?
Wajibu ndo waendelee 😃
👉🏽Mizengo Pinda alisena si nchi
👉🏽Baraza la Wawaklishi Znz ikang’aka ikasema ni nchi
Wao wanasemaje?
😂😂
#TutaelewanaTu
Kumbe Mama yao mwongo 🤣
Hajamlipa Tundu Antiphas Lissu stahiki zake anamweka tu kwenye mabango! Naona Lissu alipomchapa akatoa bango!
Angekuwa uraiani halindwi na dola tungemwita tapeli 🤣
Aibuuuuu! Rais mzima hutimizi ahadi!
Chapa spana 🔨
#TutaelewanaTu
youtube.com/live/wlv6VZlic…
Swali kwa Kizimkazi gang:
Kwa hiyo hapa Mzee Makamba alikuwa anambagua Samia Suluhu ?
Kwa nini alimpa special qualities Samia kwa ukabila wake?
Spana ziendelee tu hadi #TutaelewanaTu mbona?
LISSU yuko sahihi kabisa. Na hii ndio democracy tunayoitaka.Tukosoane bila kuoneana aibu bila kujali upande. Kuna watu wanasema LISSU kaharibu! Mie nasema LISSU anatibu kwenye kweli husema kweli. Tujisahihishe tusiogope kuambiwa ukweli. #TutaelewanaTu mbona.
Mtu huyohuyo:
2020 Sukuma Gang - hawafai wanamtetea Rais kwa sababu ni msukuma mwenzao - tuwapinge!
2024 Kizimkazi gang - lazima tumtee Rais kama wazanzibari!
😂😂 ndo ile tunasema nyani haoni kundule - ila acha ikae hivyo!
#TutaelewanaTu
Hili bango bado lipo barabarani? Maana Tundu Antiphas Lissu alimwambia alipe haki zake na za wengine asiweke picha bila ridhaa yake? 🤣
Jamani tuone mabango ya “mama” tuchambue - jana tumeambiwa Singida ipo kaweka mkono hivi 🙏🏽
Ushauri: Mabango hayawezi kukufanya upendwe
#TutaelewanaTu
✊🏽 Tundu Antipas Lissu ‼️
Kachapa siku kadhaa spana kawatoa nduki huko watoto wa Mama aka Kizimkazi gang 🤣
Mitandaoni 👉🏽 Lissu
Bungeni 👉🏽 Lissu
Vikao vya CCM 👉🏽 Lissu
🤣🤣
Jamani tuhakikishe Tundu Antiphas Lissu anachapa hizi spana daily majukwaani 👏🏽
Spana ziendelee #TutaelewanaTu