Wadau wa Asasi za Kiraia wakiwa katika hafla baada ya kuhitimisha #WikiYaAzaki ,hafla hiyo itaambatana na utoaji wa Tuzo kwa Azaki na Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai ndiye mgeni rasmi
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Tanzania Relief Initiatives Ndug, Laurean Rugambwa Bwanakunu Laurean Rugambwa BWANAKUNU
akishiriki katika Kongamano la #WikiYaAzaki katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano #AICC Jijini Arusha.
Kongamano hili limefunguliwa siku ya leo tarehe 24 na
Lengo la kwanza la kuanzisha #WikiYaAzaki lilikua kuunganisha sauti za Asasi za Kiraia katika masuala yote ya Kijamii, Kisiasa na Kiuchumi.
Francis Kiwanga
#WikiYaAzaki 2023
#CSOWeek2023
Baada ya kuangazia kuwa Asasi za Kiraia zinaweza kuwa lango la Utakatishaji fedha, Sheria mpya ya Usajili na Uendeshaji shughuli za Azaki imeweka kipengele cha ukaguzi maalumu #DemokrasiaYetu
#WikiYaAzaki
Balozi Wa Canada nchini Tanzania akikabidhi tuzo ya umahiri kwenye kutumia mbinu za uvumbuzi na ugunduzi kuleta mabadiliko kwa Amabilis Batamula kutoka Femina Hip katika hafla ya kuhitimisha #WikiYaAzaki 2019. #CSOWeek2019
Lengo la kwanza la kuanzisha #WikiYaAzaki lilikua kuunganisha sauti za Asasi za Kiraia katika masuala yote ya Kijamii, Kisiasa na Kiuchumi.
Francis Kiwanga
#WikiYaAzaki 2023
#CSOWeek2023
#WikiYaAzaki ni tarehe 23-28 pale makao makuu ya nchi kama uja jisajili Fanya sasa hivi bado una muda #AzakiNaMaendeleo2021
Karibu ufahamu juu mchango wa asasi za kiraia katika kuwaletea wananchi jisajili sasa makundi mengi yake jisajili nafasi zimebaki chache csoweek.info
#WatuNaMaendeleo | #WikiYaAzaki
Malengo ya #WikiYaAzaki kwa miaka mitano ijayo ni kuwa na jukwaa moja la Afrika Mashariki kujadili masuala mbalimbali yahusuyo Azaki,Wananchi na Maendeleo, kwa mwaka huu #WikiYaAzaki 2023 itakua Arusha usikose kushiriki.
Joyce Tesha Wa Ubalozi wa Sweden akikabidhi cheti cha umahiri kwenye kushirikiana na serikali kuleta mabadiliko kwa Amabilis Batamula kutoka Femina Hip kama mshindi wa pili katika hafla ya kuhitimisha #WikiYaAzaki 2019. #CSOWeek2019
Aidan Eyakuze kutoka Twaweza akikabidhi tuzo ya Umahiri kwenye ushiriki wa kijamii kwa Amabilis Batamula kutoka Femina Hip katika hafla ya kuhitimisha #WikiYaAzaki 2019. #UbiaKwaMaendeleo #CSOWeek2019
Malengo ya #WikiYaAzaki kwa miaka mitano ijayo ni kuwa na jukwaa moja la Afrika Mashariki kujadili masuala mbalimbali yahusuyo Azaki,Wananchi na Maendeleo, kwa mwaka huu #WikiYaAzaki 2023 itakua Arusha usikose kushiriki.
Ufunguzi wa #WikiYaAzaki 2023 jijini Arusha
Kwanzia leo hadi ijumaa karibu tujifunze
#TechXSociety #CSOWeek2023
CSO WEEK
#WikiYaAzaki itaanza rasmi tarehe 23-28 Oktoba jijini Dodoma.
Karibu ushiriki na kujifunza mengi
Cha kufanya ni kupita hapa ujiunge csoweek.info