DistressβΌοΈ
Range Rover Evoque
2013 model
First body
8 million only
πAbuja
Let's deal π€
#viralvideo #CR7π΅ #marketcap #forextrader #WikiYaAzaki2023 #TinubuTheCertificateForger
Asante kwa kila mmoja alichukua muda wake, kufuatilia maudhui tumekua tunarusha hapa kupitia hashtags za #WikiYaAzaki2023 , #CSOWeek2023 na #TechXSociety .
Imekua ni Wiki yenye mengi na kujifunza haswa.
Tuendelee kusukuma gurudumu la Maendeleo pamoja π€
Mjadala huu utakupa hali ilivyo juu ya NGO kwenye βComplianceβ za Kiserikali na Teknolojia kutoka TAMISEMI, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, FCS (ikizungumzia Mashirika Yasiyo ya Kiserikali) & Jitihada za Sekta Binafsi ikiwasilishwa na Tech & Media Convergency (TMC)
#WikiYaAzaki2023
Siku ya 3 kwenye #WikiYaAzaki2023 tumeungana na Twaweza - ni sisi pamoja na EqualityForGrowth kutembelea soko la Kilombero #Arusha kujifunza mazingira yao ya kazi na changamoto ambazo wafanyabiashara, hususani wanawake wanakumbana nazo wanapokuwa sokoni.
#JamiiPamoja
Nimeona wanawake wenye ujasiri na wanaofanya kazi kwa bidii. Wanawake mna sauti na msiogope kuzisemea changamoto mlizo nazo. Tumieni uelewa wenu kupaza sauti' - Aikande Clement Kwayu, akizungumza na wanawake wa soko la Kilombero, Arusha.
#WikiYaAzaki2023
#JamiiPamoja
Zimebaki siku 3 tu kuelekea #WikiYaAzaki2023 ambayo imeandaliwa na kamati ya asasi zaidi ya 30 zinazofanya kazi nchini Tanzania katika maeneo mbalimbali katika kuwaletea wananchi maendeleo.
Mtandao unaweza ukaundwa kwa shugulu Fulani fupi na ukafutwa baada ya shuguli hiyo mfn Uchaguzi, Elimu na mengine sasa kwa nini Msajili wa Asasi zisizo za kiraia awatake wanaoanzisha hii mitandao wajisajili wakati ni shuguli ya muda mfupi ~ Deusi Kibamba
#WikiYaAzaki2023
Wahi sasa mwanaAzaki csoweek.or.tz ujisajili ili kuweza kushiriki #WikiYaAzaki2023 itakayofanyika 23-27 Oct.
#CSOWeek2023
Mtandao unaweza ukaundwa kwa shugulu Fulani fupi na ukafutwa baada ya shuguli hiyo mfn Uchaguzi, Elimu na mengine sasa kwa nini Msajili wa Asasi zisizo za kiraia awatake wanaoanzisha hii mitandao wajisajili wakati ni shuguli ya muda mfupi ~ Kibamba #CSOWeek2023
#WikiYaAzaki2023
Asanteni sana wadau wa asasi za kiraia kwa kunialika na kuongea kuhusu changamoto za CSOs katika wakati wa sasa. Nimegusia:
1. Utegemezi wa wafadhili
2. Mahusiano na Serikali
3. Athari za ICT kwa CSOs
4. CSOs kuwa watatuzi badala ya wanaharakati
#WikiYaAzaki2023
#CSOWeek2023
Washiriki wa #WikiYaAzaki2023 wametembelea makao makuu ya Jumuia ya Afrika Mashariki, kujifunza juu ya jumuiya hii, kujua changamoto na mafanikio ambayo wameyapata kama taifa na mkoa kwa pamoja
#CSOWeek2023
#TechXSociety
βͺοΈTafakari yetu siku ya leo tunapohitimisha #WikiyaAzaki2023
βͺοΈ Imepita miaka 10 sasa tangu tuwasilishe ujumbe huu, je hali iko vipi sasa katika shule za umma, ukizingatia mabadiliko ya kiteknolojia katika ulimwengu huu wa kidijitali?
State of CSOs in Tanzania report , focuses on insights on internal & external operating conditions of CSOs, and relies on primary & secondary data.
#CSOWeek2023 #WikiYaAzaki2023 #TechXSociety
At β¦nmaist _officialβ© learning about Tech & Society: Then, Now and Beyond. The session is a part of #CSOWeek2023 #WikiYaAZAKI2023
#WikiYaAzaki2023 itafanyika Oktoba 23-27 Oktoba 2023 Jijini Arusha. Mwaka huu tunatarajia zaidi ya washiriki 500 kutoka kwa wadau wakuu wa maendeleo katika sekta ya Asasi za kiraia/AZAKI, sekta binafsi, serikali na wananchi. ~|Francis Kiwanga
#TechXSociety
OUR CSO WEEK IS AROUND THE CORNER
Theme: Tech x Society: Then, Now and Beyond #CsoWeek2023
Date: 23rd - 27 October, 2023
Place: Arusha, Tanzania.
Early Bird Registration is Available at : csoweek.or.tz
Join online conversation through #TechXSociety #WikiYaAzaki2023
Day 3. Leo staff wa TAYOBECO na washiriki wengine wa #WikiYaAzaki2023 tumetembelea makao makuu ya Jumuia ya Afrika Mashariki. Lengo ni kujifunza juu ya jumuiya hii, kujua changamoto na mafanikio ambayo wameyapata kama taifa na kanda kwa pamoja
#CSOWeek2023
#KijanaMkakati
Asasi za kiraia zazindua #WikiYaAzaki2023 ambapo wataenda kujitathimini walipotoka, walipo hivi sasa na tunapoelekea kiteknologia. inatarajiwa kuwa na washiriki zaidi ya 1000 kutoka Taasisi zaidi ya 500 kutoka sekta mbalimbali.
#KonceptTvUpdates