Tanzania imekua nchi ya mfano katika utekelezaji wa mradi wa mabasi yaendayo kasi jijini Dar es salaam, Kenya inatarajiwa kua nchi ya pili katika ukanda wa Afrika Mashariki kupata mradi huo. #dfmupdates #technology #advancement #innovation #economy #HealthyLiving #Kenya #Tanzania
Umoja wa Ulaya unasema umemuita mjumbe wake nchini Tanzania kwa mashauriano pamoja na kutathmini upya uhusiano wake na nchi hiyo kutokana na kuongezeka kwa ukiukwaji wa haki za binadamu Tanzania. #dfmupdates #economy #politics #HumanRights #Equality #EuropeanUnion #Tanzania
Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii; kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao na kujilinda na dunia pasipo mawaa. #dfmupdates #love #life #empathy #equality #HumanRights #JesusChrist #God
Baraza la Taifa la usimamaizi wa Mzingira (NEMC) limekifungia Kiwanda cha usindikaji nyama ya punda cha Huwachen Company Limited kilichopo Dodoma kwa kutochukua hatua za utunzaji wa mazingira. #dfmupdates #environment #life #Health #Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hassan Rouhani amesema kuwa, licha ya kuwepo vikwazo vya Marekani dhidi ya Tehran, lakini nchi nyingi duniani za Asia na Ulaya zina hamu ya kuendeleza ushirikiano wao na Iran. #dfmupdates #WorldPeace #Equality #HumanRights #Tanzania
#Repost dfm_tz (get_repost)
・・・
Tuko nawe saa 24
#dfmupdates #happy #love #jesus #tanzania #daressalaam #god #empowerment #youth #radio #onlineradio #radio #testimonial #worship #believer … instagram.com/p/Bqz0s8BnlY4/…
#Repost dfm_tz (get_repost)
・・・
Usikose kujiunga na mashauri_paul katika kipindi cha D-Youth kwenye online radio yako namba moja dfm.co.tz. #dfmtz #ibada #dbusiness #dfmupdates #happy … instagram.com/p/BnjUEk1n226/…