Tafiti na Ripoti mbalimbali zimekuwa zikieleza, ili Nchi na Serikali ziweze kupiga hatua kubwa Kimaendeleo, zinapaswa kujenga Taasisi Imara zinazoweza kusimamia Sheria na Taratibu bila kuingiliwa na Viongozi wanaoziongoza
#JamiiForums #GoodMorning #AmkaNaJF #Governance
WAFADHILI MNAKARIBISHWA SINGIDA MPYA YA KIJANI INAWEZEKANA.
Wadau, ndani na nje ya nchi mnaoniuliza kufadhili kampeni hii kumuunga Rais Dkt Samia Suluhu kwenye udhibiti wa mabadiliko ya Tabia nchi;
Tuwasiliane;
Email; [email protected]
WhatsApp: +255717027973
Suphian.
Shakila Abdalla β Seneta, Lamu: Mgawo wa rasilimali za nchi unafaa uangaliwe haswa kiwango inayobaki kwa serikali kuu isiwe inaenda kwa maeneo inayoongozwa na watawala wakuu #SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Pembezoni mwa Mkutano wa Maji wa Dunia 10th World Water Forum hapa Bali, tumekuwa na mkutano mzuri sana baina ya mawaziri wa nchi zetu mbili wanaosimamia sekta ya maji, Mhe. Jumaa Aweso na mwenyeji wake, Mhe. Basuki Basuki Hadimuljono Peduli ambao unaenda kuanzisha mashirikiano kwenye sekta hii nyeti