Ananilea Nkya (PhD)
@AnanileaN
Human Rights Activist & Trainer on Media and National Development Issues|Tanzania's Woman of Courage Award Recipient 2010|TAMWA Executive Director 2001-2012
ID:1236994171979825153
09-03-2020 12:36:58
1,7K Tweets
53,9K Followers
386 Following
CCM ivue kiatu cha zamani (Katiba ya sasa) na ivae kiatu kipya (Katiba Mpya) wasisubiri hadi Tanzania ifike pabaya pale Kenya ilipofika mwaka 2007 vifo vya Wakenye wengi kutokana na vurugu za uchaguzi @Maura
#KatibaMpya
x.com/i/spaces/1RDGl…
UONGOZI BOBA NI HUU
Kama kila mwenye wadhifa wa uongozi Serikalini, Mashirika/Taasisi za Umma, Vyama vya Siasa vinavyopokea ruzuku ya kodi ya wananchi, NGOs zinazopata fedha za wafadhili n.k watafanyia kazi ujumbe huu👇 nchi yetu ITAINUKA Samia Suluhu
Leo #MariaSpaces tunajadili: Je genge la watekaji liko CCM? Nani analiendesha?
Tumeona utekaji na utesaji unashika kasi huku kauli za viongozi wa UVCCM na CCM kuonyesha uhusika au kuonya kutenda uhalifu huu. Jeshi la polisi liko kimya! Nani yuko nyuma ya hii?
Saa 2 uck leo
Leo #MariaSpaces tunajadili:
Uchafuzi au Uchaguzi 2025? #KatibaMpya tumeshindwa kudai?
Mabadiliko ya sheria za uchaguzi inatupa ishara uchaguzi utakuwaje? Je tuendelee hivyohivyo bila #KatibaMpya ? Tunashindwa kuidai au tumeamua kushindwa?
Leo saa 2 usiku USIKOSE!
#TANZANIA : Dkt. Ananilea Nkya (PhD) afunguka mzito wimbi la vijana waliomaliza Vyuo Vikuu kujazana mitaani bila ajira, mbaya zaidi hadi waliopata mafunzo ya Jeshi nao wako mtaani, adai Serikali inatengeneza bomu la Nyuklia baadae litalipuka hasa ukiangalia kuna wimbi kubwa sana la ufisadi…
Leo #MariaSpaces tunajadili: #KatibaMpya na uwajibikaji -
Utekaji, Maafa Rufiji, Ngorongoro
Hata CCM wanajua kiu yetu kuhusu #KatibaMpya ya wananchi itakayoleta uwajibikaji! Je itatusaidiaje kuzuia na kuadhibu wahusika wa maafa Rufiji, utekaji na uporaji ardhi?
Leo saa 2 uck