Mwananchi Newspapers(@MwananchiNews) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amekemea kauli zinazoweza kutolewa na vijana wa chama hicho juu ya kuwapoteza watu wanaowapinga: “Huyu ni kijana wetu kasema jambo la kijinga na lazima tulipinge.”

account_circle
Glory Olomi(@olomi_glory8) 's Twitter Profile Photo

Mtumiaji wa usafiri wa ardhini, Glory Olomi amesema ongezeko la nauli liendane na huduma nzuri na usafi wa nyombo hivo ili kupunguza kero.

instagram.com/p/C0PX_ucLNQV/…


Mtumiaji wa usafiri wa ardhini, Glory Olomi amesema ongezeko la nauli liendane na huduma nzuri na usafi wa nyombo hivo ili kupunguza kero.

instagram.com/p/C0PX_ucLNQV/…

#mwananchiupdates
#tunaliwezeshataifa
account_circle
cousin 420(@420Cousin) 's Twitter Profile Photo

Nchi 10 zilizoongoza kupeleka idadi kubwa ya wajumbe katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28). Mkutano huo ulianza Novemba 30, 2023 na unatarajia kutamatika Desemba 12 mwaka huu.


Nchi 10 zilizoongoza kupeleka idadi kubwa ya wajumbe katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28). Mkutano huo ulianza Novemba 30, 2023 na unatarajia kutamatika Desemba 12 mwaka huu.

#mwananchidata
#tunaliwezeshataifa
account_circle
mackdeo Mackeja shilinde(@MackdeoShilinde) 's Twitter Profile Photo

Nchi 10 zilizoongoza kupeleka idadi kubwa ya wajumbe katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28). Mkutano huo ulianza Novemba 30, 2023 na unatarajia kutamatika Desemba 12 mwaka huu.



Nchi 10 zilizoongoza kupeleka idadi kubwa ya wajumbe katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28). Mkutano huo ulianza Novemba 30, 2023 na unatarajia kutamatika Desemba 12 mwaka huu.

#mwananchidata
#tunaliwezeshataifa
#MamaYukoKazini
account_circle
Mwananchi Newspapers(@MwananchiNews) 's Twitter Profile Photo

Jiunge nasi Jumatano hii Aprili 17, 2024 katika Mwananchi Space.

Mada: Mabadiliko ya jina la Tume ya uchaguzi ni chachu ya kufanyika kwa chaguzi huru?


Jiunge nasi Jumatano hii Aprili 17, 2024 katika Mwananchi Space.

Mada: Mabadiliko ya jina la Tume ya uchaguzi ni chachu ya kufanyika kwa chaguzi huru?

#mwananchiupdates 
#tunaliwezeshataifa
account_circle
PAVEAyo-Blog (Official)✍️(@PAVEAyoTV) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia Suluhu Suluhu Hassan leo Jumapili Agosti 27, 2023 akifunga mafunzo ya uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala katika Shule ya Uongozi Kibaha, ameitisha maswali kutoka kwa viongozi hao waliofundishwa kwa muda wa siku sita.

account_circle
Robert Metana(@robertmetana) 's Twitter Profile Photo

Aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema amewasili Tanzania leo Jumatano Machi 1, 2023 akitokea nchini Canada alikokimbilia baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.

account_circle
Mwananchi Newspapers(@MwananchiNews) 's Twitter Profile Photo

Jiunge nasi katika Mwananchi Space Jumatano hii Aprili 24, 2024.

Mada: Ipi suluhu ya kudumu ya changamoto ya huduma ya vivuko Kigamboni-Magogoni?


Jiunge nasi katika Mwananchi Space Jumatano hii Aprili 24, 2024.

Mada: Ipi suluhu ya kudumu ya changamoto ya huduma ya vivuko Kigamboni-Magogoni?

#mwananchiupdates
#tunaliwezeshataifa
account_circle
David(@DaveMollel) 's Twitter Profile Photo

Ramani na takwimu zikionyesha mikoa inayoongoza kilimo cha bangi nchini.

Kuna mikoa inalima kwa ajili ya kuuza nje ya Nchi 🤔


Ramani na takwimu zikionyesha mikoa inayoongoza kilimo cha bangi nchini.

Kuna mikoa inalima kwa ajili ya kuuza nje ya Nchi 🤔

#mwananchidata 
#tunaliwezeshataifa
account_circle
PAVEAyo-Blog (Official)✍️(@PAVEAyoTV) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia Suluhu akimkabidhi Mama Janeth Magufuli tuzo ya Rais wa awamu ya tano Hayati John Magufuli kwenye hafla ya uzinduzi wa Ikulu Chamwino iliyofanyika leo Jumamosi Mei 20, 2023 jijini Dodoma.


Rais @SuluhuSamia akimkabidhi Mama Janeth Magufuli tuzo ya Rais wa awamu ya tano Hayati John Magufuli kwenye hafla ya uzinduzi wa Ikulu Chamwino iliyofanyika leo Jumamosi Mei 20, 2023 jijini Dodoma.

#mwananchiupdates 
#tunaliwezeshataifa
account_circle
JAK(@BlogCCM) 's Twitter Profile Photo

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) jana Ijumaa, Februari 10, 2023 walimchagua Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo.
Bunge la Tanzania

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) jana Ijumaa, Februari 10, 2023 walimchagua Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo.
@bunge_tz
#ccmdijitalibungeupdates 
#tunaliwezeshataifa
account_circle
Josephine Christopher(@JocfineQ) 's Twitter Profile Photo

catch Mwananchi Newspapers twitter space leo tukiongelea mfumuko wa bei, akiwepo minister of Finance and Planning Mwigulu Nchemba, PhD

Mada: Serikali imechukua hatua kukabiliana na mfumuko wa bei, nini maoni yako juu ya hatua hizi?



account_circle