Mmbetta Jr
@MmbettaJ
Mimi ni mwanaharakati mpenda haki za watu wote ,..Sipendi kuona binadamu mwenye nguvu anamuonea binadamu mwenzie kwasababu tu ana nguvu ,Napenda Haki Sawa 🙏
ID:1445427103437053957
05-10-2021 16:34:35
36,3K Tweets
6,2K Followers
3,0K Following
Ukimsikiliza huyu mwenyekiti wa vijana CCM mkoa wa Kagera unaweza kufikiri ana nguvu za ziada, lakini ni viumbe dhaifu sana ambao wakipelekewa umeme mzito wanaita polisi kuomba msaada. Tuwaulize UVCCM, Jokate Mwegelo hii nchi ikichafuka, mtoto wako yule mdogo atakuwa salama? MNATUWEZA?
Mwezi Feb, 2024 ; Bunge chini ya Dr. Tulia Ackson limeazimia kwamba Serikali ione umuhimu wa kufanya ununuzi wa Ndege nyingine (Mpya) Kwa ajili ya Viongozi.
Jana Aprili2024 , Bunge liliazimia kununuliwa Lundcruser (V8 Mpya) kwa ajili ya wakuu wa wilaya na mikoa kwa takriban Tsh…
TAMISEMI, mnamdanganya nani sasa?
Uongo unakera sana. Lakini inakera zaidi serikali kudanganya walipa kodi. Picha ambayo OFISI YA RAIS TAMISEMI mmeweka hapa ni PRADO j120 ambayo production yake ilimalizika mwaka 2009.
Kwanini msiwaeleze ukweli watanzania kwamba mmeweka ‘order’ TOYOTA…
Ushahi wanaopoteza watu ni CCM Kwa kushirikiana na Police Force TZ Kwa mujibu wa hiyo video hapo ! Kijana wa Mbeya aliyekuwa amepotea kumbe huyu angeulizwa mapema angesema alipo! Huu ujasiri unatokana na Katiba mbovu iliyopo ambayo haiweki utaratibu mzuri wa kushughulikia wahalifu Hawa
Kesho saa 4:00 Asubuhi nitachukua fomu ya kugombea Uenyekiti wa kanda ya Victoria. Nitachukulia katika ofisi zetu za mkoa wa Kagera hapa Kashai Bukoba mjini. Nilisoma Ihungo na nimeishi Kagera miaka 2 ninahistoria pana na Kagera.
#KaribuniSana
Pumbaf zenu MACHAWA - mlitaka ku hack Instagram account yangu? 😃
Hebu tulieni huko!
Si mlisema hatuna impact? Sasa mnahaha nini?
Spana ziendelee 😂😂
Samia Suluhu regime #Tanzania now trying to hack to silence us! They are DESPERATE!
#TutaelewanaTu