Rahuuuum
@RahmaMwita
TV Journalist/ Writer/BookAddict/ Founder @OYO_Tanzania / YALI-EAC Alumni/ GlobalGoalsChampion🌍/https://t.co/MwfbyyoTeM
ID:3421680677
http://www.oyotanzania.org 14-08-2015 07:18:20
51,2K Tweets
65,5K Followers
1,9K Following
Mwami Zitto Zuberi Kabwe, Siku ya Jumatatu, Aprili 15, 2024, atakuwa ZBC Katika Kipindi cha Tatua, kuanzia saa 3 kamili usiku.
#ZanzibarMpya
#ZanzibarMoja
#MamlakaKamili
Leo Aprili 12, 2024 Naibu Katibu Mwenezi wa ACTWazalendo, Ndugu shangwe Ayo atakuwa katika kipindi cha Kipima Joto cha ITV.
Muda saa 3:00 Usiku
#NECijiuzulu
#WaRufijiWafidiwe
'Jambo linalopaswa kusukumwa na kila mtu hivi sasa bila kumung'unya maneno, ni kuitaka Tume ya Sasa Ijiuzulu. Mchakato wa kupata Tume Mpya uanze.' Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Kiongozi wa Chama Mstaafu, ACTWazalendo
Lau ningepata la kuomba ~ Sabaha Salum Muchacho.
Ma Shaa Allah. Ma Shaa Allah. #SwahiliBarkah
'Jambo linalopaswa kusukumwa na kila mtu hivi sasa bila kumung'unya maneno, ni kuitaka Tume ya Sasa Ijiuzulu. Mchakato wa kupata Tume Mpya uanze.' Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Kiongozi wa Chama Mstaafu
'Maafa ya Rufiji yameacha maumivu makubwa. Serikali ilipe fidia Wananchi. Kitendo cha kufungua Bwawa la Nyerere bila tahadhari wala tathmini ya athari zake ni uzembe. Tunataka Waziri wa Nishati ajiuzulu.'
Waziri Mkuu Kivuli wa ACTWazalendo
Isihaka Mchinjita
#WaRufijiWafidiwe
Capturing moments with the ones who make every frame brighter. Family: where love knows no bounds.
#SwahiliBarkah 📍Dar es salaam, Serena Hotel.
Kiongozinwa Chama Mstaafu, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe kesho asubuhi atakuwa kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds fm.
Usiwache kufuatilia.
ACTWazalendo
#NECijiuzulu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Kiongozi wa Chama Mstaafu, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe kesho asubuhi atakuwa kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds fm.
Usiwache kufuatilia.
ACTWazalendo
#NECijiuzulu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote