Kwakua Raisi amesha saini sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi, tunaitaka Tume iliopo madarakani Ijiuzulu ili kupisha mchakato wa tume huru kupatikana.
#Taifalawote #Maslaiyawote
#NECIJIUZULU
'Kwa vile sheria mpya ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imeweka masharti kupatikana kwa utaratibu wa ushindani kupitia Kamati ya Usaili, Ngome ya Wazee tunatoa rai kwamba Tume ya sasa ijiuzulu kupisha kuundwa Tume Mpya.'
Mwenyekiti wa Ngome ya Wazee
Yasin Gumsan
#NECijiuzulu
UHALALI KISHERIA v UHALALI KISIASA
#NECijiuzulu #INECiingie
Kuanzia keshokutwa tarehe 12 April 2024 Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi inaanza kutumika kwa mujibu wa GN no. 225 ya 29 Machi, 2024.
Endapo masharti ya Kifungu cha 5 cha Sheria ya Tume Huru ya Taifa yaโฆ
'Hatuwezi kwenda kwenye uchaguzi utakaosimamiwa kinyume cha sheria; na sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inataka itungwe Sheria ya Kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.'
Waziri Mkuu Kivuli wa ACTWazalendo
Isihaka Mchinjita
Wasemaji wa Kisekta
#NECijiuzulu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Kesho ndio siku tutamkaribisha kabisa Ndugu Tundu Antiphas Lissu kwenye Chama ACTWazalendo
Atasajiliwa kwa mfumo wa #ACT Kiganjani na Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Baada ya mahojiano kuisha..
Najivunia kuwa mwanachama wa #ACT
#NECijiuzulu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Kiongozi wa Chama Mstaafu, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe kesho asubuhi atakuwa kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds fm.
Usiwache kufuatilia.
ACTWazalendo
#NECijiuzulu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Leo Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndg Dorothy Semu na Balozi Theresa Zitting wamezungumza juu ya hali ya kisiasa nchini.
Katika ziara hii ya ubalozi wa FinnishEmbassyTZ,KC aliambatana na Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje,Ndg Mwanaisha Mndeme na naibu wake Ndg Dr. Nasra Nassor Omar
#NECijiuzulu
Kiongozi wa Chama Mstaafu, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe kesho asubuhi atakuwa kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds fm.
Usiwache kufuatilia.
ACTWazalendo
#NECijiuzulu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Tume ya Sasa ijiuzulu,Tupate tume huru ya uchaguzi. ACTWazalendo
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Wasemaji wa Kisekta
#NECijiuzulu #WaRufijiWafidiwe
'Katika Kata ya Kabwe, Mkuu wa Wilaya, Ndugu Peter Lijualikali; ametumika vibaya. Kupiga wananchi na kuingia kwenye vituo vya kupiga kura.'
Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa
Janeth Rithe
ACTWazalendo
#NECijiuzulu
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
'Msimamo wetu: Tunataka Tume ya Uchaguzi ijiuzulu.'
Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Bara
Isihaka Mchinjita
#NECijiuzulu
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
'Sasa tuna sheria mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi, halafu tunaenda makamishina walewale. Hii haiwezekani.'
Kiongozi Mstaafu wa ACTWazalendo
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Wasemaji wa Kisekta
#NECijiuzulu #WaRufijiWafidiwe
Ni saa 3:00 Usiku. Dakika kadhaa kutoka sasa. Naibu Katibu Mwenezi wa ACTWazalendo, Ndugu shangwe Ayo atakuwa ITV katika kipindi cha Kipima Joto.
Usiwache kufuatilia.
#NECijiuzulu #WaRufijiWafidiwe
'Wajumbe wote wa Tume ya Uchaguzi wajiuzulu na Sheria Mpya ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa itungwe kwenye Bunge lijalo.'
Naibu Katibu Mwenezi wa ACTWazalendo
shangwe Ayo
#NECijiuzulu
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo na Waziri Mkuu Kivuli wa Wasemaji wa Kisekta ndani ya Wasafifm. #NECIJIUZULU
'Jambo linalopaswa kusukumwa na kila mtu hivi sasa bila kumung'unya maneno, ni kuitaka Tume ya Sasa Ijiuzulu. Mchakato wa kupata Tume Mpya uanze.' Zitto MwamiRuyagwa Kabwe.
#NECijiuzulu
Kesho Asubuhi April 09, 2024 Naibu Mwenezi wa ACT Wazalendo, Ndugu @shangwe__ayo atakuwa kwenye Kipindi cha Clouds 360.
Usiwache kufuatilia.
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
#NECijiuzulu