Lupus Warriors Tanzania(@lupuswarriorstz) 's Twitter Profileg
Lupus Warriors Tanzania

@lupuswarriorstz

We aim to raise awareness and provide support for the Lupus community in Tanzania

ID:978303334795923457

calendar_today26-03-2018 16:11:05

501 Tweets

370 Followers

140 Following

Lupus Warriors Tanzania(@lupuswarriorstz) 's Twitter Profile Photo

Maadhimisho ya Siku ya Magonjwa Adimu Duniani hufanyika kila tarehe ya mwisho ya mwezi Februari yakilenga kujenga uelewa kuhusu Magonjwa yanayotokea kwa kundi dogo la watu na athari zake

Maadhimisho ya Siku ya Magonjwa Adimu Duniani hufanyika kila tarehe ya mwisho ya mwezi Februari yakilenga kujenga uelewa kuhusu Magonjwa yanayotokea kwa kundi dogo la watu na athari zake #RareDiseaseDay
account_circle
Lupus Warriors Tanzania(@lupuswarriorstz) 's Twitter Profile Photo

Takriban Watu Milioni 300 Duniani kote wanaishi na 'Magonjwa Adimu'

Kujifunza zaidi kuhusu Magonjwa haya, JamiiForums itaendesha Mjadala na Wataalamu MUHAS, Taasisi ya Magonjwa Adimu - Ali Kimara, Hospitali ya Aga Khan, THGO na Lupus Warriors

Takriban Watu Milioni 300 Duniani kote wanaishi na 'Magonjwa Adimu' Kujifunza zaidi kuhusu Magonjwa haya, JamiiForums itaendesha Mjadala na Wataalamu MUHAS, Taasisi ya Magonjwa Adimu - Ali Kimara, Hospitali ya Aga Khan, THGO na Lupus Warriors #RareDisease
account_circle
Jamii Forums(@JamiiForums) 's Twitter Profile Photo

Takriban Watu Milioni 300 Duniani kote wanaishi na 'Magonjwa Adimu'

Kujifunza zaidi kuhusu Magonjwa haya, JamiiForums itaendesha Mjadala na Wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS), Taasisi ya Magonjwa Adimu - Ali Kimara, Hospitali ya Aga Khan, Chama

Takriban Watu Milioni 300 Duniani kote wanaishi na 'Magonjwa Adimu' Kujifunza zaidi kuhusu Magonjwa haya, JamiiForums itaendesha Mjadala na Wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS), Taasisi ya Magonjwa Adimu - Ali Kimara, Hospitali ya Aga Khan, Chama
account_circle
Jamii Forums(@JamiiForums) 's Twitter Profile Photo

Je, wajua asilimia 5 ya Watu duniani kote wanakabiliwa na 'Magonjwa Adimu' ambayo baadhi yake huathiri Mfumo wa Fahamu, Misuli na Ubongo?

Kufahamu zaidi kuhusu Magonjwa hayo, athari zake na jinsi Wagonjwa wanavyohudumiwa, jiunge nasi katika Mjadala utakaoendeshwa na Wataalamu na

Je, wajua asilimia 5 ya Watu duniani kote wanakabiliwa na 'Magonjwa Adimu' ambayo baadhi yake huathiri Mfumo wa Fahamu, Misuli na Ubongo? Kufahamu zaidi kuhusu Magonjwa hayo, athari zake na jinsi Wagonjwa wanavyohudumiwa, jiunge nasi katika Mjadala utakaoendeshwa na Wataalamu na
account_circle
Lupus Warriors Tanzania(@lupuswarriorstz) 's Twitter Profile Photo

Kuelimisha jamii kuhusu Lupus ni muhimu katika kupunguza unyanyapaa, kuboresha huduma za matibabu, na kusaidia wagonjwa kupata matibabu sahihi na kwa haraka

Kuelimisha jamii kuhusu Lupus ni muhimu katika kupunguza unyanyapaa, kuboresha huduma za matibabu, na kusaidia wagonjwa kupata matibabu sahihi na kwa haraka #LupusAwareness
account_circle
Jamii Forums(@JamiiForums) 's Twitter Profile Photo

: Ugonjwa wa hauna tiba isipokuwa kupunguza ukubwa wa dalili na athari za Kiafya zinazoweza kutokea kwa Wagonjwa

Kwa kiasi kikubwa, mjumuiko wa Dawa za kupunguza Maumivu na Uvimbe, kudhibiti mfumo wa Kinga pamoja na kulinda Maungio ya Mifupa na viungo muhimu hutumika

#AFYA: Ugonjwa wa #Lupus hauna tiba isipokuwa kupunguza ukubwa wa dalili na athari za Kiafya zinazoweza kutokea kwa Wagonjwa Kwa kiasi kikubwa, mjumuiko wa Dawa za kupunguza Maumivu na Uvimbe, kudhibiti mfumo wa Kinga pamoja na kulinda Maungio ya Mifupa na viungo muhimu hutumika
account_circle
Jamii Forums(@JamiiForums) 's Twitter Profile Photo

Je unaufahamu Ugonjwa wa Lupus, Dalili na jinsi ya kushughulikia nao? Je, unafahamu 90% ya Wagonjwa wa Duniani ni Wanawake?

Kwa haya na mengine mengi usikose kujiunga nasi katika Mjadala na Wataalamu, Jumatano hii Mei 31, 2023, kuanzia Saa 12 Jioni hadi Saa 2 Usiku

Je unaufahamu Ugonjwa wa Lupus, Dalili na jinsi ya kushughulikia nao? Je, unafahamu 90% ya Wagonjwa wa #Lupus Duniani ni Wanawake? Kwa haya na mengine mengi usikose kujiunga nasi katika Mjadala na Wataalamu, Jumatano hii Mei 31, 2023, kuanzia Saa 12 Jioni hadi Saa 2 Usiku
account_circle
Francis Furia(@furia_francis) 's Twitter Profile Photo

Prof Janabi akimpongeza Maureen ambaye ni mpambanaji wa Lupus aliyefanya kazi kubwa kuandaa maadhimisho ya siku ya Lupus yaliyofanyika Hospitali ya Taifa Muhimbili Muhimbili National Hospital


Prof Janabi akimpongeza @MaureenManyama ambaye ni mpambanaji wa Lupus aliyefanya kazi kubwa kuandaa maadhimisho ya siku ya Lupus yaliyofanyika Hospitali ya Taifa Muhimbili @MuhimbiliTaifa #LupusAwarenessMonth #ElimikaWikiendi
account_circle
Lupus Warriors Tanzania(@lupuswarriorstz) 's Twitter Profile Photo

Kuelimisha jamii kuhusu Lupus ni muhimu katika kupunguza unyanyapaa, kuboresha huduma za matibabu, na kusaidia wagonjwa kupata matibabu sahihi na kwa haraka

Kuelimisha jamii kuhusu Lupus ni muhimu katika kupunguza unyanyapaa, kuboresha huduma za matibabu, na kusaidia wagonjwa kupata matibabu sahihi na kwa haraka #ElimikaWikiendi #LupusAwarenessMonth
account_circle
Lupus Warriors Tanzania(@lupuswarriorstz) 's Twitter Profile Photo

Lupus Warriors Tanzania ni taasisi inayo jumuisha wagonjwa, wazazi na walezi wanaokabiliana na ugonjwa wa Lupus na kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa huu

Lupus Warriors Tanzania ni taasisi inayo jumuisha wagonjwa, wazazi na walezi wanaokabiliana na ugonjwa wa Lupus na kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa huu #ElimikaWikiendi #LupusAwarenessMonth
account_circle