#cloudsmediaGroup Clouds Media salamu zenu hizi kutoka kwa huyu bodaboda wa sumbawanga ,,nimeona niwafikishie #tunakufunguliadunia #mawingu
#Cloudsmediagroup inawatakia Watanzania wote Heri ya SIKUKUU YA WAFANYAKAZI DUNIANI.
#Tumekuverify
#MeiMosi2024 Clouds Media
#CloudsMediaGroup inatoa pole kwa familia ya Noel Mwingila (Zuchy), wafanyakazi wenzake wa millardayo, ndugu jamaa na marafiki kwa msiba huu.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe. #TutaonanaBaadae
#Cloudsmediagroup inakutakia Heri ya Siku ya Wafanyakazi Duniani.
#7bisha2023
#MoyoWaMawingu
#MeiMosi2023
What an honour to be recognised as #MalkiaWaNguvu2024 under the category of #Leadership (Community Services) by #CloudsMediaGroup .
It was a night of inspirational stories of women leading, breaking glass ceilings, and doing amazing things!
#WomenInLeadership #Healthcare
Asante sana kwa kutuchagua #CloudsMediaGroup , nasi tunakutakia Sikukuu njema ya PASAKA, amani na upendo uendelee kutawala miongoni mwetu.
#7bisha2023
#MoyoWaMawingu Clouds Media
Kibasiiiiiiiiii cha Wacloudsnia Mjengoni hicho kiko tayari na #MikimbioYaBimkubwa ! karibu uungane nasi #Cloudsmediagroup na CRDB Bank PLC pamoja tusambaze tabasamu
Hakikisha kikundi chako hakikosi hiyo #Agosti13 pale viwanja vya #GreenGrounds #OysterBay DSM kuwa sehemu ya histor
@Isogeleee #CloudsMediaGroup Leo June 9, tunasherekea kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Mkurugenzi wetu Mtendaji @josephkusaga.
Happy Birthday BIG JOE
#7Bisha2023
#CloudsMediaGroup tunaungana na WACLOUDSANIA kumtakia kheri ya kumbukizi ya siku yake ya @thebestfetty.
#CMG tunaendelea kuthamini mchango wako wa @thebestfetty nasi tunakutakia mwaka mwingine wa mafanikio na baraka zaidi.
#HappybirthdayThebestfetty
#7bisha2023
1/5/1970 ni siku ambayo alizaliwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa #Cloudsmediagroup , Ruge Mutahaba.
Ikumbukwe Ruge alifariki February 26, 2019 nchini Afrika Kusini ambako alikuwa akipatiwa matibabu.
Tunathamini mchango wako wa dhati na kusherekea maisha yako
Leo Mei 16 hapa Mjengoni tunasheherekea kuzaliwa kwa #MalkiaWaNguvu aliye nyuma ya Mkurugenzi wa #CloudsMediaGroup @josephkusaga Leo ni kumbukumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya mkewe: Juhayna Kusaga (@ajmy_inna) ambaye ni Mkurugenzi wa #PrimetimePromotion
#HappybirthdayMrsKusaga
#TANZIA : Uongozi na wafanyakazi wa #CloudsMediaGroup unatoa pole kwa mwanafamilia wa #WasafiMedia Ndg Gerald Hando (Gerald Hando) kufuatia kifo cha mwenza wake kilichotokea leo Jumapili January 14,2024.
Moyo wa Mawingu ukufariji katika kipindi hiki kigumu unachopitia na Mwenyezi
#Cloudsmediagroup tunawatakia kila la kheri kamshange tz, @sophiakessytz na @Mtengile555 katika kusherekea kumbukizi ya siku ya kuzaliwa. Happy birthday kwenu.
Maisha marefu na mafanikio zaidi tunawaombea WACLOUDSANIA.
#7bisha2023
#MoyoWaMawingu
Hellow Tanzania Hellow Africa hii ni zaidi ya baraka kwetu kusherehekea dozeni 2 kamilifu (Miaka 24) ya kutoa huduma za kiburudani, habari na elimu. Asante kwa kutuverify sisi ( #CloudsMediaGroup ) kuwa kituo chako namba moja cha kusababisha burudani, habari, mijadala na elimu.
Baada ya kusababisha Comedy Search Mbeya, akapatikana mkali wao #Piltonmusa , #Cloudsmediagroup na washkaji zetu Cheka Tu Live Comedy Show tunakutakia kila la kheri katika ulimwengu wa vichekesho ambao umefunguliwa leo.
Afisa Uhusiano wa #CloudsMediaGroup Emilian Mallya (Emilly Mallya) ametajwa kuwa Mwanafunzi Bora wa Stashahada ya Uzamili katika Diplomasia ya Uchumi (Postgraduate Diploma in Economic Diplomacy) katika mahafali ya 26 ya Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt Salim Ahmed Salim
Utiaji wa saini wa hati ya makubaliano ya ushirikiano kati ya Afisa Rasilimali watu wa @CloudsMediaGroup Mr. Elikimbilio Kitoi na Mkurugenzi Mtendaji wa FAST GAS Mr. Mohammed Albeit. Makubaliano yanahusisha ushirikiano katika kutangaza...
#NishatiSafi | #GasNiFasta