Moshi To Dar es Salaam, With My Real brother Wiston Andrew Mogha #TeamKeshoNyingi
#Miaka10yaActWazalendo
#TaifalaWote #MaslahiYaWote
Kheri ya kuzaliwa ndugu yangu Julius Joseph Massabo. Mungu aendelee kufungua milango yako mdogo wangu.
#TeamKeshoNyingi
Kheri katika siku yako muhimu kuzaliwa. Katika wakati wangu wa kushoto na wakati wangu wa kulia uliendelea kusimama kama kaka. Nitakuheshimu na kukuombea baraka kila siku Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Mungu aendelee kukupa miaka mingi.
#TeamKeshoNyingi
Kheri katika siku yako muhimu kuzaliwa Ado Shaibu Mungu akuzidishie baraka, busara na upendo. Tunakuamini ๐๐
#TeamKeshoNyingi
Hongera Abdul Nondo ๐น๐ฟ ushindi wako ni ushindi kwa chama. Endeleza na boresha zaidi pale ulipoishia.
#TeamKeshoNyingi
Ado Shaibu Tunashukuru sana ndg Ado Shaibu Ado Katibu Mkuu yanki kabisa kuliko wote Tz bara na visiwani. #TeamKeshoNyingi baraka tele kwako na wanachama wote