Maadhimisho ya miaka 10 ya ACTWazalendo, tunakwenda kuzindua nembo mpya na bendera mpya. Naibu Mwenezi, shangwe Ayo amefafanua zaidi kwenye FrontPage ya gloabal redio.
#TwenzetuZanzibar
#TwenzetuKilimanjaro
#TwenzetuKigoma
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Vijanaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Mwambie mwenzio amwambie mwenzie tarehe 21 tuna jambo letu Zanzibar na hii sio ya kukosa.
#TwenzetuZanzibar
ACTWazalendo Ngome ya vijana_Official
Katika kuadhimisha miaka 10 ACTWazalendo, Aprili 21, 2024 Ngome ya vijana_Official watafanya kongamano kubwa Zanzibar.
#TwenzetuZanzibar
#10ZanzibarMpya
#10ZanzibarMoja
#10MamlakaKamili
Ewee! Mtanzania mwenzangu hujachelewa,jiunge nasi ACTWazalendo
#TwenzetuZanzibar . #TwenzetuKilimanjaro . #MoyowetuRufiji . #TwenzetuKigoma
Oyooo 🔥🔥🔥 miaka 10 ya ACT Wazalendo, je wewe ni mwanachama wa ACT Wazalendo na umepata sms hii basi jiandae kufurahia miaka 10 ya chama kwa kushiriki matukio haya muhimu.
#TwenzetuZanzibar . #TwenzetuKilimanjaro .…
Baada ya Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia utakaofanyika Moshi, kutafanyika shughuli mbalimbali za kijamii Zanzibar na Tanzania Bara.
shangwe Ayo
ACTWazalendo
#TwenzetuZanzibar
#TwenzetuMoshi
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili