Ngome ya vijana_Official
@NgomeyaVijana
Ukurasa Rasmi Wa Ngome Ya Vijana @ACTwazalendo https://t.co/3794ZHb99Q
ID:721902913296211968
18-04-2016 03:27:21
4,7K Tweets
8,8K Followers
64 Following
TWENZETU KIGOMA
Ngome ya vijana_Official inawaalika wanachama wote kuhudhuria Fainali ya mashindano ya ligi ya #WazalendoCUP kwa mshindi wa 3, 2 na wa 1 yatakayofanyika Viwanja vya Kawawa trh 3 na 4 Mei kuelekea maadhimisho ya ACTDAY 5Mei
#10MaslahiyaWote
#Ngomeikokazini
#TwenzetuKigoma
TWENZETU KIGOMA
Ngome ya vijana_Official inawaalika wanachama wote kuhudhuria Fainali ya mashindano ya ligi ya #WazalendoCUP kwa mshindi wa 3, 2 na wa 1 yatakayofanyika Viwanja vya Kawawa trh 3 na 4 Mei kuelekea maadhimisho ya ACTDAY 5Mei
#10MaslahiyaWote
#Ngomeikokazini
#TwenzetuKigoma
TWENZETU KIGOMA
Ngome ya vijana_Official inawaalika wanachama wote kuhudhuria Fainali ya mashindano ya ligi ya #WazalendoCUP kwa mshindi wa 3, 2 na wa 1 yatakayofanyika Viwanja vya Kawawa trh 3 na 4 Mei kuelekea maadhimisho ya ACTDAY 5Mei
#10MaslahiyaWote
#Ngomeikokazini
#TwenzetuKigoma
TWENZETU KIGOMA
Ngome ya vijana_Official inawaalika wanachama wote kuhudhuria Fainali ya mashindano ya ligi ya #WazalendoCUP kwa mshindi wa 3, 2 na wa 1 yatakayofanyika Viwanja vya Kawawa trh 3 na 4 Mei kuelekea maadhimisho ya ACTDAY 5Mei
#10MaslahiyaWote
#Ngomeikokazini
#TwenzetuKigoma
Nikiwa na Naibu Katibu wetu Ngome ya vijana_Official Taifa,ndg Ruqayya Mahmoud Nassir Mjini Moshi baada ya chama chetu kufanya Mkutano Mkubwa wa Kidemokrasia uliohudhuriwa na wakazi zaidi ya 2000 kutoka Mkoa wa Kilimanjaro.Hakika chama hiki ni cha kitaifa. Kila Mkoa kipo hadi ngazi ya Tawi.
UCHAGUZI ACTWASO
Tarehe 27 Aprili, Katibu wa Idara ya Vyuo vikuu Ndg Baswariyyu amekuwa mgeni rasmi katika Uchaguzi wa kuwapata Viongozi wa ACTWASO Tawi la UDSM. Ndugu Baswarriyu ameahidi ACT kukita mizizi Vyuo vyote nchini.
#SoteniWashindi
#UDSMisPurple
#NgomeipoKazini
Ngome ya vijana_Official tumesikitishwa na kitendo cha Polisi (@tanpol) kuwakamata Ndug. MalisaGJ na Boniface Jacob kwa kupaza sauti dhidi ya mauaji ambayo Polisi wamekuwa wakiyafanya. Sote tumekuwa mstari wa mbele kukemea vitendo vya Polisi kuwauwa Vijana wetu na uchunguzi kutofanyika.
Mwenyekiti wa Ngome ya vijana_Official Taifa Ndugu Abdul Nondo πΉπΏ amewasili Mkoani Kilimanjaro kushiriki Mkutano mkubwa wa Kidemokrasia utakaofanyika Moshi tarehe 27 Aprili 2024.
#10MaslahiyaWote
#TwenzetuKilimanjaro
#Ngomeikokazini
KUMEKUCHA VYUO VIKUU
Ngome ya vijana_Official inapenda kukutaarifa ewe mwanachama wa ACTWazalendo Tawi la UDSM kuwa zoezi la uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi mbalimbali za Uongozi katika Tawi hilo limefunguliwa leo 23 Aprili 2024.
#SoteniWashindi
#NgomeipoKazini
#UDSMisPurple π
Ngome ya vijana_Official chini ya Mwenyekiti Ndugu Abdul Nondo πΉπΏ tumeshiriki kikamilifu kuwafariji ndugu zetu wa Rufiji. Tumebaini mafuriko haya yametokana na uzembe mkubwa wa TANESCO. Tunaitaka Serikali kuwalipa fidia waathirika wote wa mafuriko.
#MoyowetuRufiji
#Ngomeipokazini
Leo Aprili 22 M'Kiti wa Ngome ya vijana_Official Taifa Ndugu Abdul Nondo πΉπΏ na Katibu Bussara Jr. wameshiriki katika ziara ya Kiongozi wa Chama Bi. @Dorothsemu Wilayani Rufiji kuwafariji waathirika wa mafuriko. KC Semu amekabidhi misaada ya kibinadamu kwa Mkuu wa Wiaya hiyo
#MoyoWetuRufiji
Leo Ngome ya vijana_Official tumefanya Kongamano kubwa kuadhimisha miaka 10 ya Chama chetu. Mgeni rasmi wa Kongamano hili alikuwa Mwenyekiti Mh.Othman Masoud Othman .Kesho tunaenda Rufiji Moyo wetu upo huko, tukirudi Twenzetu MOSHI,tar 5/Mei Kilele Kigomaaaa. Hiki chama ndio Matumaini ya Watanzania
Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 Aprili Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja, Naibu Katibu Ngome ya Vijana Taifa Bi. Ruqayya Mahmoud Nassir atakuwepo. Tukutane Zanzibar
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 Aprili Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja, ambapo Katibu wa Ngome ya Vijana Taifa Ndugu Bussara Jr. atakuwepo. Tukutane Zanzibar
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 April Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja, Makamu Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana Taifa Ndugu Nassor Marhoun atakuwepo. Tukutane Zanzibar
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Makamu Mwenyekiti Zanzibar Mwamba Ismail Jussa amethibitisha kuhudhuria Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 Aprili Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja.
Tukutane Zanzibar
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Makamu Mwenyekiti Bara Ndugu Isihaka Mchinjita amethibitisha kuhudhuria Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 Aprili Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja.
Tukutane Zanzibar
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 April Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACTWazalendo Ndugu Omar Said Shaaban atakuwepo. Tukutane Zanzibar.
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Kongamano la Ngome ya vijana_Official wa chama cha ACTWazalendo litafanyika Kesho trh 21 Aprili katika Ukumbi wa #PiccaDillyHall -Kombeni ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Othman Masoud Othman, M'Kiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa.
#10MamlakaKamili
#Ngomeikokazini
#TwenzetuZanzibar
KUMEKUCHA ZANZIBAR
Ngome ya vijana_Official Taifa inawaalika Vijana wote kuhudhuria Kongamano la Vijana litakalofanyika Kesho 21 April Visiwani Zanzibar ambapo Mgeni Rasmi atakuwa ni Mwenyekiti wa ACTWazalendo Taifa Mhe. Othuman Masoud
#10MamlakaKamili
#Ngomeikokazini
#TwenzetuZanzibar