Hata mwanamke mwenye ulemavu akipewa nafasi na kujengewa mazingira mazuri ya yeye kujiamini na kumuondolea vikwazo anaweza kuwa kiongozi mzuri na akaitumikia nafasi aliyopewa vizuri sana.
#WomenInMediaTz
Tanzania Media Women
Ndoto za mabinti mara nyingi hutimia wakitia nia, Dada yetu Joyce Shebe ni mmoja wa wahiri mahiri
#WomenInMediaTz
TAMWA imeshiriki kikamilifu katika ufunguzi wa Maadhimisho ya #SikuYaUhuruWaVyomboVyaHabari Duniani 2024 uliohusisha mbio za kilomita 10 zilizofunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Jabir Shekimweri. #WPFD2024 #TAMWA #ZuiaUkatili #WomenInMediaTz
Sera ya usawa wa kijinsia utapunguza athari za rushwa ya ngono utatua fursa kwa usawa #VunjaUkimya #ZuiaUkatili
#WomenInMediaTz
Wanawake na wanaume wana fursa sawa katika kushika nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya vyombo vya habari. #WomenInMediaTz
Wanahabari wanahitaji kutengenezewa mazingira Salama ili wafanye kazi yao bila hofu yoyote. #WomenInMediaTz
Tanzania Media Women
Ni wakati sasa wa kumuamini mwanamke kuwa anauwezo wa kufanya mapinduzi makubwa kwenye tasnia ya Habari.
#WomenInMediaTz
Tanzania Media Women
Wapo wanawake wengi sana katika jamii zetu wanaoweza kuongoza taasisi mbalimbali ni muhimu sasa taasisi ziwape nafasi ili waonyeshe uwezo wao.
#WomenInMediaTz
Waandishi kwa habari wote ikiwemo wanawake wana fursa sawa ya uongozi katika utendaji kazi. #WomenInMediaTz
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, MP leo Julai 22 amezindua rasmi ripoti ya utafiti uliofanywa na Tanzania Media Women kuhusu; 'Namna vyombo vya habari vinavyoripoti habari za #HakiZaAfyaYaUzazi '
#WomenInMediaTz
#SexualReproductiveHealthRights
Vyuo vya habari vijikite kwenye vitendo kupata wanahabari mahiri ikiwa ni pamoja na kusimamia sera za kupambana na rushwa ya ngono
#VunjaUkimya #ZuiaUkatili #WomenInMediaTz
Kuna haja ya kuwapatia waandishi wanawake mafunzo ya kujiamini ili kuwaepusha na udhalilishaji wakiwa nje na ndani ya vyumba vya habari. #WomenInMediaTz
Tanzania Media Women