“Biashara ya Simba ishakuwa ngumu msimu huu, Ni ngumu kwa Simba kuvuna alama tatu kwa mechi zilizobaki kutokana na kufanya vibaya uwanjani mara kwa mara” - nasrikhalfan
#sportsarena88 .9
#kivumbisokalanyumbani
“Changamoto ya Simba ni umaliziaji ja hata kwenye Dabi tungekuwa na Straika hatari Yanga wangekufa. Kuelekea Dirisha la Usajili Uongozi wa Simba umsikilize Kocha Benchikha anataka nini” Ismail Aden Rage, aliyewahi kuwa M/Kiti Simba Sc.
@sportsarena88.9 #KivumbiSokaLaNyumbani
Ni Uzi upi wa Yanga umeupenda zaidi kati ya Jezi tatu zilizotambulishwa Jana?
1. Njano 2. Kijani 3. Dark Blue?
#KivumbiSokaLaNyumbani sponsored by @tigo_tanzania
Cc Bintisuleimani @georgeambangile Ahmed Abdallah na nasrikhalfan
@sportsarena88.9 #KivumbiSokaLaNyumbani
“Saido ilimpasa kuondoka Simba msimu uliopita kwasababu mwili umechoka, Alitakiwa ajue wakati sahihi kwenda timu nyingne isiyokuwa na pressure kama Simba” - Hansrafael
@sportsarena88.9
#kivumbisokalanyumbani
AFRIKA MASHARIKI IPO KWENYE MIKONO SALAMA YA WANANCHI🙌
FULL TIME - CAFCC
YANGA SC 2️⃣➖0️⃣ MARUMO GALLANT
⚽ 64' Aziz Ki
⚽ 90' Morrison
#tumerudirasmi #kidosportsupdates #kivumbisokalanyumbani #yangasc #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi
WANANCHI HAO NUSU FAINALI CAFCC 22/23 🏆
.
➡1st Leg
🇹🇿 YANGA SC 🆚 MARUMO G 🇿🇦
🏟 Mkapa.
.
➡ 2nd Leg
🇿🇦 MARUMO G 🆚 YANGA SC 🇹🇿
🏟 Royal Bafokeng.
#tumerudirasmi #kidosportsupdates #kivumbisokalanyumbani #YangaSC #daimambelenyumamwiko #malumogallants
Klabu ya Tz prisons sc imekamilisha usajili wa Mchezaji Salum Kihimbwa (25) kutoka Mbeya City kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja.
#tumerudirasmi #kidosportsupdates #kivumbisokalanyumbani
lakini wanakosa kuwa na ‘Sweeper Keeper’ aina ya Diarra ndio maana wanaingia Sokoni kusajili Kipa wa kisasa” Hans Rafael
#KivumbiSokaLaNyumbani