Maulid Kitenge(@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

“Biashara ya Simba ishakuwa ngumu msimu huu, Ni ngumu kwa Simba kuvuna alama tatu kwa mechi zilizobaki kutokana na kufanya vibaya uwanjani mara kwa mara” - nasrikhalfan

.9

account_circle
Maulid Kitenge(@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

“Changamoto ya Simba ni umaliziaji ja hata kwenye Dabi tungekuwa na Straika hatari Yanga wangekufa. Kuelekea Dirisha la Usajili Uongozi wa Simba umsikilize Kocha Benchikha anataka nini” Ismail Aden Rage, aliyewahi kuwa M/Kiti Simba Sc.

@sportsarena88.9

account_circle
PAVEAyo-Blog (Official)✍️(@PAVEAyoTV) 's Twitter Profile Photo

Ni Uzi upi wa Yanga umeupenda zaidi kati ya Jezi tatu zilizotambulishwa Jana?

1. Njano 2. Kijani 3. Dark Blue?

sponsored by @tigo_tanzania

Cc Bintisuleimani @georgeambangile Ahmed Abdallah na nasrikhalfan

@sportsarena88.9

account_circle
Maulid Kitenge(@mshambuliaji) 's Twitter Profile Photo

“Saido ilimpasa kuondoka Simba msimu uliopita kwasababu mwili umechoka, Alitakiwa ajue wakati sahihi kwenda timu nyingne isiyokuwa na pressure kama Simba” - Hansrafael

@sportsarena88.9

account_circle
Kido Sports(@kido_sports) 's Twitter Profile Photo

WANANCHI HAO NUSU FAINALI CAFCC 22/23 🏆
.
➡1st Leg
🇹🇿 YANGA SC 🆚 MARUMO G 🇿🇦
🏟 Mkapa.
.
➡ 2nd Leg
🇿🇦 MARUMO G 🆚 YANGA SC 🇹🇿
🏟 Royal Bafokeng.

WANANCHI HAO NUSU FAINALI CAFCC 22/23 🏆
.
➡1st Leg
🇹🇿 YANGA SC 🆚 MARUMO G 🇿🇦 
🏟 Mkapa.
.
➡ 2nd Leg
🇿🇦 MARUMO G 🆚 YANGA SC 🇹🇿
🏟 Royal Bafokeng.

#tumerudirasmi #kidosportsupdates #kivumbisokalanyumbani #YangaSC #daimambelenyumamwiko #malumogallants
account_circle