EDWIN BARUA NI ‘PRODUCTIVE’ KULIKO KIBU DENIS - Hansrafael
Hans anasema kati ya Kibu Denis na Edwin Barua yeye anaenda na Barua kwasababu ana ubora mkubwa wa kupiga faulo na ana zao zuri kwenye 18 ya Mpinzani kuliko Kibu.
Wewe unaenda na Nani?
#sportsarena88 .9…
“Biashara ya Simba ishakuwa ngumu msimu huu, Ni ngumu kwa Simba kuvuna alama tatu kwa mechi zilizobaki kutokana na kufanya vibaya uwanjani mara kwa mara” - nasrikhalfan
#sportsarena88 .9
#kivumbisokalanyumbani
“Changamoto ya Simba ni umaliziaji ja hata kwenye Dabi tungekuwa na Straika hatari Yanga wangekufa. Kuelekea Dirisha la Usajili Uongozi wa Simba umsikilize Kocha Benchikha anataka nini” Ismail Aden Rage, aliyewahi kuwa M/Kiti Simba Sc.
@sportsarena88.9 #KivumbiSokaLaNyumbani
Ni Uzi upi wa Yanga umeupenda zaidi kati ya Jezi tatu zilizotambulishwa Jana?
1. Njano 2. Kijani 3. Dark Blue?
#KivumbiSokaLaNyumbani sponsored by @tigo_tanzania
Cc Bintisuleimani @georgeambangile Ahmed Abdallah na nasrikhalfan
@sportsarena88.9 #KivumbiSokaLaNyumbani
“Saido ilimpasa kuondoka Simba msimu uliopita kwasababu mwili umechoka, Alitakiwa ajue wakati sahihi kwenda timu nyingne isiyokuwa na pressure kama Simba” - Hansrafael
@sportsarena88.9
#kivumbisokalanyumbani
“Takwimu zimeonesha Kuna Ligi tumezipita lakini sidhani kama tumeipita ligi ya Afrika kusini na siamini kigezo cha kuoneshwa mechi zetu ndio kigezo cha kuipita Afrika Kusini”
Uchambuzi wa soka nasrikhalfan
Cc : @sportsarena88.9
#tumerudirasmi #kidosportsupdates
@_dannyInc SportsArenaTz Maulid Kitenge ricardomomo George Job Hhhhh ni page ya mtu binafsi tuu ameamua kiita sports arena. Kama hujui chukua hyo itakusaidia badae😂😂 only sports arena wanapage ya IG inaitwa 'SportsArena88.9' chukua. Angalia bio yake then utaniamn tuu