#NBCPL : Baadhi ya hekaheka zilizpjiri kipindi cha kwanza.
Yanga SC 0-0 Coastal Union
Iko LIVE #AzamSports1HD
#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPL Updates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #YangaSC VsCoastalUnion #YangaSC #CoastalUnion
๐จ KANASA ๐ฆ๐ช
#NextMatch
Mashujaa fc ๐ Yanga Sc
๐ #NBCPremierLeague
๐ Saa 10 Jioni
๐๏ธ 05.05.2024
๐๏ธ Lake Tanganyika
Usi-left group, Shujaa hasaliti chama
Nb: PICHA HAINA UHUSIANO WOWOTE NA MCHEZO WA TAREHE 05.05.2024
Ni aidha IHEFU, YANGA SC, AZAM FC au COASTAL UNION ndiye atakaye kua bingwa wa CRDB FA CUP 23/24.
Ihefu FC vs Yanga SC itachezwa Sheikh Amri Abeid, Arusha, Mei 19.
Coastal Union vs Azam FC itachezwa CCM Kirumba, Mwanza, Mei 18.
Je, Nani kuwa Bingwa msimu huu?
#CrownSports
Mwana Simba RememberTheName akiichambua kauli ya Kocha wa Simba Juma Mgunda kuhusu nafasi ya Klabu hiyo kuchukua Ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.
#KipengaXtra #SimbaSC #YangaSC #SimbaNaYanga
Taarifa ya Kikosi kinachosafiri kesho kuelekea Kigoma kwenye mchezo wa #NBCPremierLeague dhidi ya Mashujaa FC inapatikana Yanga SC App๐ฒ
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Eng. Hersi Said - Kiongozi Yanga Sc
Murtaza Mangungu - Kiongozi Simba Sc
Yusuf Bakhresa - Kiongozi Azam Fc
Ni nani utendaji wake unakukosha unatamani angekuwa kiongozi kwenye timu yako pendwa, tuambie kupitia comment yako hapo chini ๐๐ผ
โ๐ฝ ๐ฟ๐๐๐
#WasafiSports
Ukiacha vita ya alama 3๏ธโฃ hii leo pale Azam Complex kati ya Yanga Sc dhidi ya Coastal Union, kuna vita nyingine ya Clean Sheets.
Vinara wa Clean Sheets katika Ligi Kuu ya NBC ๐น๐ฟ hadi sasa
โก๏ธ Djigui Diarra โ 1๏ธโฃ0๏ธโฃ
โก๏ธ Ley Matampi โ 1๏ธโฃ0๏ธโฃ
#NBCPL ๐น๐ฟ
โKwa niaba ya Wachezaji wenzangu tumejiandaa vizuri na tuko tayari kuhakikisha kesho tunapambana na kuondoka na alama 3โ kiungo wa Yanga Sc, Salum Abubakar โSureboyโ akizungumzia mchezo wa kesho dhidi ya Mashujaa Fc katika dimba la Lake Tanganyika.
#KitengeSports