KIFO TATANISHI CHA MWALIMU HOMABAY
Mwalimu auawa katika mazingira tatanishi Rangwe.
Wakaazi wa kijiji watiwa kiwewe baada ya kisa hicho.
Wazee wa kijiji hicho walaani kitendo hicho.
Walimu wasena wahofia kufunza asubuhi.
#TV47Matukio
Andrine Kilemi
MAZINGIRA SHULENI Project, soutenu par Uhuru Centres, en partenariat avec @Hadisinjo, La Différence et Congo Circulaire. (Ensemble, nous façonnons un avenir plus propre en sensibilisant sur la gestion des déchets et l'importance de préserver notre environnement.)
vijana washiriki kwenye chaguzi zinazokuja, kama wapiga na wapigiwa kura? mazingira ya kisiasa na kisheria yanawawezesha kufanya hivyo? nitawauliza vijana maswali haya na mengineyo kwenye mdahalo ACTWazalendo imeandaa kuhusiana na mada hiyo. karibu nyote:
Siku ya jana tuliweza kutembelea watoto wanaotokea mazingira magumu kituoni kwao CAMP CALEB-BUZA.Tulitoa elimu kwa watoto na walezi wao pamoja na kufanya uchunguzi wa Kinywa na meno.
Nia yetu ni kuwafikia watanzania wote bila kujali hali zao za uchumi na maisha.
#Kinywasalama
Ili kulinda mazingira na afya za watanzania, MAMA anahakikisha hakuna anayeachwa nyuma katika mageuzi ya nishati.
Uhakika wa upatikanaji na bei nafuu utawezesha watanzania kutumia nishati safi.
#MamaYukoKazini
Muonekano wa Kliniki ya Kinywa na Meno Hospitali ya Rufaa ya Mkoa - Dodoma.
Rais Samia Suluhu anahakikisha Mtanzania anatibiwa Magonjwa ya Kinywa na Meno katika mazingira bora na vifaa vya kisasa.
#MamaYukoKazini
TUWEKE MAZINGIRA RAFIKI YA HEDHI SALAMA KWA USTAWI WA JAMII YETU
Na WAF, Dodoma
Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu, MP ameitaka jamii na wadau kuweka mazingira rafiki kwenye suala la hedhi salama ili mwanamke aweze kutimiza majukumu yake bila kikwazo.
Waziri Ummy ametoa wito huo
Nimekubali mwaliko wa ACTWazalendo Ngome ya vijana_Official kuwa MZUNGUMZAJI kwenye mdahalo wa Kitaifa wa vijana Mei 25, 2024 juu ya mada; Mazingira ya kisiasa kuelekea chaguzi za Serikali za mitaa, Je! yanatoa fursa ya vijana kushiriki kikamilifu?
TUKUTANE MAGOMENI DAR, CCM OYEE!!