Black_Tourist👬
@Babawawili_2
Tanzanian |Born to Make Friends | Mwalimu Msomi | Baba Twins 👬| #CertifiedDigitalMarketer #CertifiedTeacher
ID:2418037767
17-03-2014 17:11:39
114,7K Tweets
22,6K Followers
7,6K Following
JF itashirikiana na Twaweza, kwa kuwa taasisi hizi zinathamini kupaza #SautiZaWananchi huleta mabadiliko chanya nchini. Twaweza hutoa tafiti kuhusu mtazamo na uzoefu wa wananchi juu ya masuala mbalimbali. Sauti za Wananchi hutoa hali halisi ya wananchi kwa vyombo vya habari na
Je wajua?
Yanga ndiyo timu pekee ya Tanzania iliyowahi kuchukua Ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati nje ya nchi? Imefanya hivyo mwaka 1993 na 1999.
Wale wengine ni wataalam wa Kupigwa Hamsa nje ya nchi 😹🤣
#ElimikaWikiendi
Je wajua
Mzee Mpili ndio mzee alie jizolea umaarufu mkubwa miaka ya hivi karibuni kuliko wazee wengi wa upande wa pili? (Simba)
#ElimikaWikiendi
Je wajua
Mchezaji wa kwanza kufunga kariakoo Derby ni Mawazo Shomvi tarehe 07/06/1965 akiifungia Yanga baada ya hapo upinzani ukaanza kuwa mkali #ElimikaWikiendi
Je wajua?
Eng: Hersi Said alianza kuisapoti Yanga Afrika mwaka 1992, baba yake mzazi alikuwa ni shabiki kipenzi wa timu hii tishio kwa sasa nchini!!
Hii najua hujui - alikua akifuatilia mechi nyingi mubashara kupitia redioni pamoja na rafiki zake!
#ElimikaWikiendi
Wewe mtumishi ama mwajiriwa una ndoto za kumiliki mjengo wako usijali CRDB Bank PLC wanaweza kukupa Hadi 200 milioni kwa masaa 24 ukiwa na Salary Account ya CRDB Bank PLC.
Wahi Leo fika tawini fungua account yako.
#SwahibaLanguLako
Mvua hizi zisikupe mihemko ukapanda mbegu kwenye shamba hujajiandaa kulitunza.
#ElimikaWikiendi