Hancy Machemba
@hancymachemba
Co Director Nasar General Supplies,
Mkulima,
Mfugaji
TANZANIA KWANZA
🏟Team CHELSEA
ID:481783078
http://www.nasargeneral.com 03-02-2012 05:17:29
142,5K Tweets
129,7K Followers
33,3K Following
Hancy Machemba Jerry Silaa 😀kaka mateso hayo hayo tunayapata wana Msumi.daraja limekatika hakuna hata dalili za kulirejesha toka january.Ukiingia nest hnaona tender zimetangazwa na submission deadline ni 31/4.iende evaluation mpaka award wataanz akujenga august au september.ni kero sana aisee
Hancy Machemba Siyo wabunge tu na madiwani kama sisi tangu anechaguliwa hajawahi kuonekana Tena Wala hakai kwenye kata yake Wala mkoa wake ni huzuni kwa kweli
Hancy Machemba Jerry Silaa Bonnah Ladislaus Kamoli Hatarii wajawazito wa kutoka kimanga kwenda amana now wanatakiwq tuwapitishe external barabara ni mbovu hatar
Hiyu mbunge hana tofauti na mbunge wetu Jerry Silaa maana alisema barabara zitaanza kujengwa mwezi wa nne na mpaka leo tarehe 25 April hakuna mkandarasi tunamuona site.
Wacha na sisi tujipange kwenda naye sawa
Kwa hizi mvua za Dodoma!
Ukijipoza Kwa Mchemsho wa Sato namna hii lazima usahau kuwa unalalaga peke Yako😂
📍 Nkuhungu Boda Dodoma
📞 0622262110
Delivery tunafanya!
#FoodByVanessa
Ombi moja kwa Serikali sikivu pale Kitunda Masai/Kizuiani kuwe na Trafic/Muongoza magari katika kipindi hiki kwani barabara ni mbovu inayosababisha foleni kwani unaweza tumia hata masaa mawili kuvuka pindi magari yanapofungana Jerry Silaa Hancy Machemba
Si tulikubaliana tutauza nje au tumekosa wateja?
Moyo wa TAIFA ™️ ni dalali mzuri wampe kazi atafute wateja na huwenda pesa itakayopatikana ikasaidia kujenga barabara za Ukonga yetu
Hii ni kali sana. Sasa Tanzania Railways Corporation wahakikishe uzuri wa hii station uendane na huduma nzuri za usafiri na sio kutuletea mambo ya ajabu kama wenzao Air Tanzania kutwa usafiri haueleweki. Safari ipo mara route unabadilishiwa ukiwa ndani ya ndege tayari.