Neema Lugangira
@neemalugangira
Proud Mother👫| MP @bunge_tz | Founder @omukahub @agrithamani @apnigafrica | Board @parlnetwork @IPNEducation | MAG @intgovforum | Mentor @SADCYouthParly
ID:4140714021
https://www.parliament.go.tz 08-11-2015 09:45:24
15,8K Tweets
21,3K Followers
3,6K Following
Follow People
Wabunge tulioshiriki Semina ya Omuka Hub UNESCO Dar es Salaam trh 2 Mei ya Wadau wa Habari & Wabunge kuhusu Tasnia ya Habari & Matumizi ya Akili Mnemba #AI & Teknolojia kwenye Demokrasia jana tulishiriki pia Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya Dunia. #WPFD2024
Leo katika Semina ya Wabunge 25 iliyoandaliwa na Omuka Hub, UNESCO Dar es Salaam, Nukta Africa na Jamii Forums kuhusu Tasnia ya Habari na Matumizi ya Akili Mnemba/Bandia #AI na Teknolojia kwenye Demokrasia pamoja na masuala mengine, nimeelezea changamoto ya upotoshaji wa taarifa…
To commemorate the World Press Freedom Day; today, Omuka Hub, UNESCO Dar es Salaam, Nukta Africa & Jamii Forums organised a Session for 25 Members of Parliament on Media, Artificial Intelligence #AI & Technologies for Democracy whereby Adv Harold Sungusia, President Tanganyika Law Society(TLS) and…
I thank Media Council for inviting me to the Stakeholders' Conference on Role of Media in Elections. I tabled need for Media to address fake news thus uphold Reporting Ethics & call out gender based violence on women in politics in elections including online.
📍Dodoma
🗓️ 30/4/2024
✅ April 2024 = Tabasamu kwa Wazee 10 #Bukoba ❤️
🔜 May 2024 = Loading……..
#NeemaNaMaendeleoFund
#TabasamuKwaWazeeNaWahitaji
Jana tarehe 29/4/2024, tumefanikiwa kuwapa TABASAMU WAZEE 10 kutoka #Bukoba kufuatia Michango ya TZS. 580,985 iliyowasilishwa #NeemaNaMaendeleoFund na tunawashukuru sana wote waliofanikisha kufikisha Tabasamu kwa Wazee ❤️🙏
#NeemaNaMaendeleoFund
#TabasamuKwaWazeeNaWahitaji
Jana, Wazee 10 kutoka #Bukoba wamepata Tabasamu kwa hisani ya #NeemaNaMaendeleoFund maana kila mmoja amepokea #WazeeFoodPack yenye Mchele Kilo 5, Maharage Kilo 5, Unga wa Sembe Kilo 5, Sukari Kilo 2 na Mafuta ya Kupikia Lita 2. Nawashukuru #NeemaNaMaendeoFund ❤️🙏
Aidha, niwape…
Dedicated time yesterday afternoon to join Kenneth Union of Tanzania Press Clubs, Nancy UNESCO Dar es Salaam and Didi United Nations TZ to fine-tune plans for the World Press Freedom Day in #Dodoma .
Excited the Media, AI and Emerging Technologies session will also address women in politics’ concerns 📰🎥🖥️
21 Machi kupitia WhatsApp Group Kagera Mpya 🇹🇿 3, kaka Charles aka Lowassa Jnr ambae hatufahamiani aliwiwa kupendekeza wazo la kuniunga mkono kwa kuanzisha #NeemaNaMaendeleoFund ili wananchi wachangie kwa hiari kufanikisha jitihada zangu za kufikia wenye uhitaji. NAWASHUKURU ❤️🙏
🕊️BURIANI MA BLANDINA
Nimeungana na Familia, Viongozi na Wananchi wote kushiriki Mazishi ya Marehemu Ma Blandina Felix Kilonda, Mama Mzazi wa Da Lydia Lugazia, Mjumbe wa Kamati ya Siasa CCM Kagera #RIPMaBlandina 🙏
📍Kata Buganguzi, Wilaya Muleba
🗓️ Jumamosi 27 Aprili 2024
Nikiwa njiani kuelekea #Muleba , nimekuwa na kikao kifupi hapa #Bukoba na familia yangu ya Agri Thamani Foundation na Omuka Hub kuwajulia hali na tumetumia fursa hiyo kutathmini utendaji kazi wetu, mafanikio yetu na kujipanga vizuri ili tuendelee kuchangia utekelezaji wa malengo ya Serikali.
Heri ya Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Tumeshikamana na Tumeimarika, kwa Maendeleo ya Taifa Letu #MuunganoDay
Iwe mvua, iwe jua, Mhe Rais Samia Suluhu upo imara site kutuongoza kwa weledi mkubwa; na tunajifunza mengi kupitia uongozi wako, tunajivunia na tunasema #UWTImara #JeshiLaMama tupo kazini, #TukutaneSite 🔥 #MuunganoDay