Hongereni Simba kwa ushindi wenu dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Upinzani wenu wa jadi uwanjani ni burudani inayowaleta pamoja mamilioni ya Watanzania katika kila kona ya nchi yetu, kwa namna ya kipekee. #KariakooDerby
Hongereni Yanga kwa ushindi dhidi ya Simba katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Upinzani wenu wa jadi wa zaidi ya miaka 85 sasa ni sehemu muhimu ya burudani yetu. Mnawaleta pamoja na kwa namna kipekee, mamilioni ya Watanzania ndani na nje ya nchi yetu. #KariakooDerby
It always feels great to win the #kariakooderby . Letโs keep the spirit up as we now shift our focus to the continental football.
#nguvumoja
Kila la kheri watani wa jadi Simba na Yanga katika mchezo wenu wa 112 kwenye historia yenu ya zaidi ya miaka 59 ya burudani kwetu sote katika Ligi Kuu Tanzania Bara. #KariakooDerby
FT: Yanga Sc 2-1 Simba Sc
โฝ๏ธ Aziz Ki 20โ (P)
โฝ๏ธ Guede 38โ
โฝ๏ธ Kouablan 74
#NBCPremierLeague
#KariakooDerby
#SimbaYanga
#WasafiDigital
๐ง๐ผ๐ฑ๐ฎ๐ ๐๐ฒโ๐น๐น ๐ฏ๐ฒ ๐ฑ๐ฎ๐ป๐ฐ๐ถ๐ป๐ด ๐ถ๐ป ๐๐ต๐ฒ ๐ฟ๐ฎ๐ถ๐ป๐ง๏ธ
Water and colors have never been enemies so our continous quest to paint the city RED remains. God lead our way ๐
#nguvumoja .
#kariakooderby
๐ง๐๐๐ ๐๐๐ข๐จ๐ง ๐ฅ๐๐ฉ๐๐๐ฅ๐ฌ ๐คญ
Yanga's billboard displaying the scoreline against rivals Simba in the recent #KariakooDerby ๐น๐ฟ.
#UNPLAYABLE
Ikiwa Imesalia Saa Kadhaa Tu kuelekea #KariakooDerby Kule Avic town vijana Wana -100% Pressure, wanarelax wanafanya mambo Yao as Usually, wakati wale wengine ni Week ya 4 sasa wamenyang'anywa simu zao ๐คฃ๐คฃ๐คฃ. Inshort Hawako Huru. Pressure ni Kubwa Sana.
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ฐ
๐๐๐ wa Wananchi sasa ni ๐๐,๐๐๐ ๐๐! Kamata Uzi wako Original twende tukakiwashee Jumamosi kwa Mkapa #KariakooDerby ๐น๐ฟ
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
You will think heโs talking sense๐คฆ๐พ
Game dayโฝ๏ธ
May God bless us all๐๐พ
#kariakooderby
@yangasc1935