#MeiMosi ya kwanza tangu kuanza utumishi wa umma.
Tumeyasikia yaliyosemwa na Mhe Makamu wa Rais, Dkt Mpango kwa niaba ya Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu.
Tuna imani tele kwa Serikali yetu katika kulinda na kuboresha maslah ya wafanyakazi: #MamaYukoKazini #MamaAnafanikisha
Chama cha ACTWazalendo kinawatakia heri ya Mei Mosi wafanyakazi wote.
#MeiMosi
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
#TwenzetuKigoma